Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hawa matajiri kumbe ndio tatizo!Kwa sababu alimuudhi sana Manara baada ya kumwambia Mo kuwa Simba kumejaa makanjanja na mabumbumbu wasio jua A wala O.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mjadala umeisha huu uzi ufungwe. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa sababu alimuudhi sana Manara baada ya kumwambia Mo kuwa Simba kumejaa makanjanja na mabumbumbu wasio jua A wala O.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseee !!Kamuulize Mzee Kilomoni ambaye mulimfanyia maudhi kadhaa kipindi anawatetea.
Mlimtukana
Mliomba afungwe
Mkamuita msaliti n.k
NB that old man had a a very good point to protect his Simba.
Matajiri siyo tatizo shida wapambeHawa matajiri kumbe ndio Tatizo !
Duh ! Mbona Manara aliwahi kutimuliwa ccm kwa sababu ya Utapeli , imekuaje akaaminiwa simba kiasi hiki ?Matajiri siyo tatizo shida wapambe
Hata magufuri ni mtu mzuri sana shida waliomzunguka
Wapambe nukusi mkuu
Moo kazungukwa na matapeli akina Manara
Ambao ndo wamewashika mashabiki mbumbumbu wa simba ambao hawana hata uwezo wa kupambanua mambo
Washaga aminishwa simba ni team kubwa ambayo iko level moja na Chelsea, Liverpool Barcelona nk
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kwa sababu simba ni mambumbuDuh ! Mbona Manara aliwahi kutimuliwa ccm kwa sababu ya Utapeli , imekuaje akaaminiwa simba kiasi hiki ?
His Simba? When and who gave him that tittle of being Simba owner? Tatizo wazee km kina kilomoni wanajifanyaga wanapiga kelele mianya ya kupiga pesa ikizibwa but wakiwa wanaambulia chochote kitu huwezi kusikia milele miaka yote aliyokaa Simba kwanini alishindwa kutafuta muwekezaji ambaye angeweza kuendana na terms & conditions alizokuwa anazitaka?Kamuulize Mzee Kilomoni ambaye mulimfanyia maudhi kadhaa kipindi anawatetea.
Mlimtukana
Mliomba afungwe
Mkamuita msaliti n.k
NB that old man had a a very good point to protect his Simba.
Lakini matokeo yalikuwa yanaonekana uwanjani.Uchebe alikua bata boi....
Na alikua anakula bata na wachezaji washikaj zake ikafikia kukawa akuna nidhamu ya team mtu anakuja tiz morning kocha kalewa mkude nae ana hangover ya ela yote!
Sent using Jamii Forums mobile app
lakn wakawa wanashindaUchebe alikua bata boi....
Na alikua anakula bata na wachezaji washikaj zake ikafikia kukawa akuna nidhamu ya team mtu anakuja tiz morning kocha kalewa mkude nae ana hangover ya ela yote!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata magoli ya wazi Mtibwa wamekosa 4 clear goals ukilinganisha na 2 ya Simba. Bila ya kupepesa macho ingekuwa 5-2. Bahati yaoKichwa cha habari chajieleza.
Kiwango cha Simba wakati wa Uchebe hakifanani kabisa na Simba hii chini ya kocha huyu mpya mwenye CV ya kusononesha.
Simba ya Uchebe haikuwahi kuzidiwa ball possession na vitimu vya nchi hii. Leo Mtibwa wamemiliki mpira kwa 51% huku Simba wakiwa na 49%, ni uchafu gani huu jamani?
Kwanini Uchebe aliondolewa bila sababu zenye mashiko?