Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kichwa cha habari chajieleza.
Kiwango cha Simba wakati wa Uchebe hakifanani kabisa na Simba hii chini ya kocha huyu mpya mwenye CV ya kusononesha.
Simba ya Uchebe haikuwahi kuzidiwa ball possession na vitimu vya nchi hii. Leo Mtibwa wamemiliki mpira kwa 51% huku Simba wakiwa na 49%, ni uchafu gani huu jamani?
Kwanini Uchebe aliondolewa bila sababu zenye mashiko?
Kiwango cha Simba wakati wa Uchebe hakifanani kabisa na Simba hii chini ya kocha huyu mpya mwenye CV ya kusononesha.
Simba ya Uchebe haikuwahi kuzidiwa ball possession na vitimu vya nchi hii. Leo Mtibwa wamemiliki mpira kwa 51% huku Simba wakiwa na 49%, ni uchafu gani huu jamani?
Kwanini Uchebe aliondolewa bila sababu zenye mashiko?