Haha.. Mkuu ndo mana nikasema wanatakiwa watapakae katika ligi mbalimbali ndani ya ulimwengu huu.. huyo Lufunga tungempeleka katika ligi ya somalia au sudani kusini.Acha mzaha...yule Lufunga itakuwa anagawana mshahara na Haji Manara.....jitu halina ball control kiasi kile....hakuna mchezaji kutoka Tanzania anaweza kucheza Ulaya moja kwa moja kutokea VPL ...mpira wetu wanacheza kwa speed ndogo sana....mwaka wa 37 bila ya AFCON ...wacheze AFCON ndio watakuwa na kiwango cha Ulaya....Farid sio la liga
BashiteWewe nani?
Alikuwa zaidi ya Mogela Mkuu, mwache Lunya bwana.Zaidi hata ya Zamoyoni Mogella??
Dah huyu jamaa alikuwa anachezea timu moja ya vingunguti baadae nafikiri alicheza premier league. Jamaa alikuwa striker hatariKipanya Malapa
Lunya wanamjua Waganda tu,Alikuwa zaidi ya Mogela Mkuu, mwache Lunya bwana.
Lakini Hata yule Mliberia George Weah pamoja na kuogopwa hukoLunya wanamjua Waganda tu,
Hapa kwetu hata Kasongo Athumani alikua akimtosha tu huyu Lunya,
Kile Kimguu chake kimoja cha kushoto ukikidhibiti basi Lunya kapuni,
Nakumbuka alikua akisoma Shinyanga nadhani, Yanga walikua wakimfuata mpaka shuleni kumsubiri.
alafu ile kona ya kichuya yeye alikuwa habahatishi ndio alikuwa hodari wa kumtungua mwamejaLunya wanamjua Waganda tu,
Hapa kwetu hata Kasongo Athumani alikua akimtosha tu huyu Lunya,
Kile Kimguu chake kimoja cha kushoto ukikidhibiti basi Lunya kapuni,
Nakumbuka alikua akisoma Shinyanga nadhani, Yanga walikua wakimfuata mpaka shuleni kumsubiri.
Lufunga nini kinachoendelea kumuweka simba? Jitu zembe kama lile, kwanza ni zitoo na miguu yake mirefu kama miteteAcha mzaha...yule Lufunga itakuwa anagawana mshahara na Haji Manara.....jitu halina ball control kiasi kile....hakuna mchezaji kutoka Tanzania anaweza kucheza Ulaya moja kwa moja kutokea VPL ...mpira wetu wanacheza kwa speed ndogo sana....mwaka wa 37 bila ya AFCON ...wacheze AFCON ndio watakuwa na kiwango cha Ulaya....Farid sio la liga
Huyu dogo ni bonge moja la full back kama dan alvesHassan kessy[emoji4]
Hassan kessy[emoji4]