Mwanasoka huyu anaitwa nani?

Luis ungechukua picha aliyogeuka ungeona jina lake poa asili yake ni barani afrika
 
Boa Morte, kakipiga Arsenal pia ila mpira ulikataa akiwa Arsenal. Anatumia mguu wa kushoto na ni mreno.

Kwa UK Arsenal Ndipo alipoanzia hapo kabla ya kwenda Fulham alikotamba..hata hivyo kwa arsenal alicheza kipindi kigumu cha mabadiliko ya timu iliyozaa ma legends.. ndo maana haishangazi kwa miaka 2 aliyokaa pale alicheza mechi chache tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…