Mwanaspoti: Simba kupata pointi za mezani kwa Merrikh

hiyo barua mstari wa pili ndio wamejichanganya, soma mwenyewe uone
 
Dah, barua inajieleza wazi kabisa! kama sio forged, simba anakula point tatu muhimu.
 
Nyau fc chezeni mpira mnataka vya mezani mtakuja kupakatwa live
 
Ikibainika ni kweli wataondolewa kabisa kwenye mashindano, na watakao umia ni Ahly na VITA
Hawataondolewa kabisa!! Hao wachezaji wanaolalamikiwa hawakucheza mechi za Vita na Al Ahly. Simba atapewa point 3. Mechi zijazo hawatawatumia hao wachezaji.
 
U mbumbumbu ni kipaji.kitu ambacho awafahamu mchezaji aliye fangiwa na FA husika anaweza funguliwa na FA husika dk yoyote tena kwa e- mail au fax tu wao FA husika ndio wanao amua. Nikama Yanga walivyo porwaa Morrison ni maamuzi ya FA husika kwa kutumia Nguvu na mamlaka. FA husika ilisha waidhinisha ao wachezaji kucheza El mereikh katika michuanomya CAF.
 
Hawatapata,wale jamaa wanakibali cha caf kuwachezesha hao wachezaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…