HeheUnatafuta mstaafu ngoja anakuja
Duuuh45 hajaoa ? toa sifa zako kwanza na km huna chura pita kule
Vijana wanasumbua Sana. 45+ angalau. Utapata
Naomba toka moyoni nikushauri kitu but through pmMwanaume wa 45+ yupo kweli?
Ukweli upo hiviiiii!!
* Below 45 don't bother yourself ku pm please!
* Mkristo
* Mpole
* Relocateπ! Yawezekana?
* Waume za watu don't bother ku pm please!
****Kuna watu under 30 yrs mnasumbua sana na pm zenu zinakera***
Acha nifanye research yangu nijifunze kitu.
Hahahaa.... Toka moyoni kabsaaa.Naomba toka moyoni nikushauri kitu but through pm
Duuuuuu mi nina 50Mwanaume wa 45+ yupo kweli?
Ukweli upo hiviiiii!!
* Below 45 don't bother yourself ku pm please!
* Mkristo
* Mpole
* Relocateπ! Yawezekana?
* Waume za watu don't bother ku pm please!
****Kuna watu under 30 yrs mnasumbua sana na pm zenu zinakera***
Acha nifanye research yangu nijifunze kitu.