MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,947
- 26,074
Okay hapo sawa
By the way wewe na mumeo umri wenu umekaaje?
tumepishana mwaka 1 tu!pale juu nilisema babangu alimzaa mdg angu lastborn alikua age hizo 45 -48 hv dogo ana akili sana ! nikarelate na hayo ya utafiti! ila mama akizaa na umri mkubwa possiblty za kuzaa na utaahira ni kubwa ! dada ngu mmoja kazaa na 44 mwanae kila mtihani ni wa mwhisho! namshauri tu ampe almond