Mwanaume acha uoga wa maisha

Mwanaume acha uoga wa maisha

Artifact Collector

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2019
Posts
6,617
Reaction score
10,205
Mfano 1 ndoa na maisha ya mahusiano
Kuna watu ni kutwa kuponda ndoa na maisha ya mahusiano kwa ujumla, hivi kweli mwanaume rijali ni wa kuogopa ndoa au Maisha ya mahusiano seriously, unapinga ndo au Maisha ya mahusiano una embrace usingle alafu uko bize kuhang na fuckbuddy, unapiga punyeto au kununua Malaya huo ni uzwazwa si Bora uwe na mahusiano ambayo ni proper

Kuna watu wako bize na wanawake ambao sio level zao wakiwakosa wanaishia kumaliza makasiriko Yao kwa kuponda ndoa au mahusiano, kwenye maisha tafuta wanawake ambao ni level zako, achana na wale ambao sio level zako utaumia sana, mwanamke ambaye sio level zako mtaishia kushindana kila siku na ni ngumu kukiheshimu. Ni ngumu sana kukuta mtu ana-deal na wanawake wa level zake alafu umkute analalamika kuhusu mahusiano

Ni kweli Kuna watu kwenye historia hawajawahi kuoa na wameifanyia Dunia mfano Nikola Tesla, newton na wengineo, tofauti ya hawa na vijana wa kileo walikua bize kuifanya Dunia a better place walikua bize na mambo yao, Sasa wewe mwenzangu na mim hutaki mahusiano alafu uko bize kununua Malaya, kupiga masturbation, wewe ni failure na ni mwoga wa maisha
Kijana ambaye huogopi maisha tafuta mwanamke oa akizingua kwenye kiwango ambacho hakivumiliki piga chini tafuta mwingine wanawake wameumbiwa Wanaume

Kuna wazee kipindi Chao Cha ujana hawajaoa wamekua ni kikwazo wanataka kuhuumiwa na wanawake (wabibi) ambao Wana waume zao yaan wamegeuka kua ni tatizo kwa ndugu zao asiyekuambie mtu umuhimu wa kuwa mke na watoto utauona ukiwa Mzee wakati nguvu huna

Hamna kitu kibaya kuzaa zaa na kila mwanamke, jamii inayokataa ndoa lazima kuwe na kizazi ambacho hakina heshima na malezi mabovu ni tofauti na mtoto aliyezaliwa na baba na mama, mtoto anakua anamuona baba au mama kila uchwao ni kubailisha Leo yule kesho mwingine unadhani mtoto atakua na heshima ni ngumu

Mfano 2 fantasy
Hakuna sehemu Kuna fantasy kama jamiiforum mim Nina account nyingine ya biashara, kwa hiyo nafanyaga biashara na watu wengi wa jamiiforum asikuambie mtu jinsi mtu anavyovimba huku jf ukikutana naye huwez amin unamkuta mtu ana maisha ya kawaida Ila huku jf ukimuona utafikiri ni zimba flani, hili group limechangia kwa kiasi kikubwa kuwafanya watu waogope maisha sababu wao kila kitu Wana ki-exaggerated huku hili Hali wao hawaishi hayo maisha, hii imepelekea watu kuogopa kufanya vitu kwa kufuata comment za huku

Mfano 3 kufail kwenye jambo flani
Kuna watu wamefail kwenye biashara, matokeo yake wamegeuka kuwa ni kero na kikwazo kwa watu wengine ambao wanataka kuingia kwenye hio biashara, wengine ndoa zimewashinda Ila wamegeuka kuwa kikwazo kwa watu wanaotaka kuingia kwenye ndoa, kwenye maisha ukifail wewe kwenye jambo husika haimaanishi kila mtu ata fail, ukifail kwenye jambo husika usiwe ni kikwazo kwa watu wanaotaka kufanya jambo lile like ulilofail kwa kuwajaza hofu kila mtu ana maisha yake na Bahati yake

Mfano 3
Una degree unamiaka 35+ still unalipa laki 3 au bado unajitolea alafu unaogopa kuacha hio kazi huo ni uoga wa kiwango Cha juu Cha maisha thamini elimu yako na gharama ulizotumia

Fear of failure and tomorrow imewafanya vijana wengi sana waishi mediocre life

Samahanin uandishi sio mzuri sana
 
JF ni escape zone ya wengi. Hapa ni kama parallel universe ya watu kuishi matamanio yao kinadharia.

Sasa mtu maisha yamekupiga kiuhalisia ndio ushindwe kuvimba virtually pia.

Kuna baadhi ya watu humu thamani zao pekee zipo JF. Hawa ndio wale kutwa kuzua ugomvi na watu, kutwa kuanzisha thread zisizo na mantiki. Ile yote ni kukimbia uhalisia wa maisha yao.
Unaweza kuta mtu mmoja ana ID hata 5. Anaanzisha uzi, anachangia mwenyewe, anajitukana mwenyewe na kujisifu mwenyewe.

Kubwa na la muhimu kwa JF, ukiona linakufaa lichukue, ukiona linachekesha cheka la kukera lipuuze ila usichukulie watu/mada za hapa seriously. Unaweza kuta shemeji yako unaemlaza sebuleni na kumtuma akufutie viatu huku anakuita mpuuzi uliefeli maisha.
 
Maelezo yote hayo nikajua utaongelea wale waoga wa kupambana kutafuta pesa, kumbe unawaponda wanaogoma kuoa? Mtego huo tumeushitukia[emoji16][emoji23].

Hakuna mtu hapendi kuoa, ila ushenzi, uhuni, ujambazi na usariti wa wanawake ndio unaofanya vijana wakatae ndoa, hizo ndoa zimekua jambo rahisi sana kwa wanawake ndiomaana hawaziheshimu, sasa wanaume waliobahatika kufunguka akili wakaona kulko kujiingiza mitegoni mwa ndoa ni bora wafanye mambo mengine, na sio uoga kama mnavyosema ninyi.

Ushauri[emoji117]..Kijana kataa ndoa za mchongo kwa nguvu zako zote na akili zako zote, na hayo mengine yoote utazidishiwa, ikiwepo, pesa, afya ya akili na mwili, uhai na maisha marefu, baraka nyingi.

Ndoa si kwa kila mtu, hata hivyo hakuna ulazima wa kuoa, hayo mawazo sijui mnayapata wapi kuwa lazma kila mtu aoe ama kuolewa.

Wanaokataa ndoa wako timamu msiwakosoe bali wahojini mujue sababu zao.

Ndoa ni taasisi inayokwenda kujifia kifo cha mende kama wafuasi wa hizo ndoa hawatobadiri mindset za ukisasa, uzungu na uhuni uhuni wa kipumbavu.
 
Mkuu hakika umenena hapo kwenye watu kutotaka kuingia kwenye ndoa halafu wanaendekeza uzinzi

Mimi nakazia hapo mtu akiona hataki ndoa basi ahakikishe hatafanya ngono maisha yake yote that is fine

Vinginevyo hao ndio walioko mstari wa mbele katika kuiharibu jamii halafu wanaleta visingizio vya kihuni
 
Maelezo yote hayo nikajua utaongelea wale waoga wa kupambana kutafuta pesa, kumbe unawaponda wanaogoma kuoa? Mtego huo tumeushitukia[emoji16][emoji23].

Hakuna mtu hapendi kuoa, ila ushenzi, uhuni, ujambazi na usariti wa wanawake ndio unaofanya vijana wakatae ndoa, hizo ndoa zimekua jambo rahisi sana kwa wanawake ndiomaana hawaziheshimu, sasa wanaume waliobahatika kufunguka akili wakaona kulko kujiingiza mitegoni mwa ndoa ni bora wafanye mambo mengine, na sio uoga kama mnavyosema ninyi.

Ushauri[emoji117]..Kijana kataa ndoa za mchongo kwa nguvu zako zote na akili zako zote, na hayo mengine yoote utazidishiwa, ikiwepo, pesa, afya ya akili na mwili, uhai na maisha marefu, baraka nyingi.

Ndoa si kwa kila mtu, hata hivyo hakuna ulazima wa kuoa, hayo mawazo sijui mnayapata wapi kuwa lazma kila mtu aoe ama kuolewa.

Wanaokataa ndoa wako timamu msiwakosoe bali wahojini mujue sababu zao.

Ndoa ni taasisi inayokwenda kujifia kifo cha mende kama wafuasi wa hizo ndoa hawatobadiri mindset za ukisasa, uzungu na uhuni uhuni wa kipumbavu.
Nimecheka hapo kwenye kifo cha mende jinsi walivyo wengi chumbani kwangu 🤔🤣🤣🤣
 
Maelezo yote hayo nikajua utaongelea wale waoga wa kupambana kutafuta pesa, kumbe unawaponda wanaogoma kuoa? Mtego huo tumeushitukia[emoji16][emoji23].

Hakuna mtu hapendi kuoa, ila ushenzi, uhuni, ujambazi na usariti wa wanawake ndio unaofanya vijana wakatae ndoa, hizo ndoa zimekua jambo rahisi sana kwa wanawake ndiomaana hawaziheshimu, sasa wanaume waliobahatika kufunguka akili wakaona kulko kujiingiza mitegoni mwa ndoa ni bora wafanye mambo mengine, na sio uoga kama mnavyosema ninyi.

Ushauri[emoji117]..Kijana kataa ndoa za mchongo kwa nguvu zako zote na akili zako zote, na hayo mengine yoote utazidishiwa, ikiwepo, pesa, afya ya akili na mwili, uhai na maisha marefu, baraka nyingi.

Ndoa si kwa kila mtu, hata hivyo hakuna ulazima wa kuoa, hayo mawazo sijui mnayapata wapi kuwa lazma kila mtu aoe ama kuolewa.

Wanaokataa ndoa wako timamu msiwakosoe bali wahojini mujue sababu zao.

Ndoa ni taasisi inayokwenda kujifia kifo cha mende kama wafuasi wa hizo ndoa hawatobadiri mindset za ukisasa, uzungu na uhuni uhuni wa kipumbavu.
Wewe ni shoga, unajua watu wakioa utakosa wajinga wa kukunyandua!
 
Back
Top Bottom