Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
- Thread starter
- #41
Wapi umelazimishwa Kuna sehemu umeshikiwa fimboNaendelea kushangaa kwa nini tulazimishane ndoa ikiwa ni kitu bora
...kitu bora hakilazimishi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi umelazimishwa Kuna sehemu umeshikiwa fimboNaendelea kushangaa kwa nini tulazimishane ndoa ikiwa ni kitu bora
...kitu bora hakilazimishi.
Congratulations... umewapa za uso vijana wengi wa kibongo ambao ni waoga sana kwenye maisha kulinganisha na jirani zetu wa africa mashariki. Hawana uthubutu kabisa kazi kulia lia na kulalamika kwa kila kitu na kuwadiss wachakarikaji waliopo South Africa na ughaibuni. Safi sana kwa haya makavu live.Recently jamiiforum kumekua na mada/uzi za kipumbavu sana, yaani kumekua na mada za mada/Uzi zenye lengo la kuwajaza watu hasa Wanaume uoga najiulizaga hivi tunatengeneza kizazi Cha aina gani
Mfano 1 ndoa na maisha ya mahusiano
Kuna watu ni kutwa kuponda ndoa na maisha ya mahusiano kwa ujumla, hivi kweli mwanaume rijali ni wa kuogopa ndoa au Maisha ya mahusiano seriously, unapinga ndo au Maisha ya mahusiano una embrace usingle alafu uko bize kuhang na fuckbuddy, unapiga punyeto au kununua Malaya huo ni uzwazwa si Bora uwe na mahusiano ambayo ni proper
Ni kweli Kuna watu kwenye historia hawajawahi kuoa na wameifanyia Dunia mfano Nikola Tesla, newton na wengineo, tofauti ya hawa na vijana wa kileo walikua bize kuifanya Dunia a better place walikua bize na mambo yao, Sasa wewe mwenzangu na mim hutaki mahusiano alafu uko bize kununua Malaya, kupiga masturbation, wewe ni failure na ni mwoga wa maisha
Kijana ambaye huogopi maisha tafuta mwanamke oa akizingua kwenye kiwango ambacho hakivumiliki piga chini tafuta mwingine wanawake wameumbiwa Wanaume
Mfano 2 fantasy
Hakuna sehemu Kuna fantasy kama jamiiforum mim Nina account nyingine ya biashara, kwa hiyo nafanyaga biashara na watu wengi wa jamiiforum asikuambie mtu jinsi mtu anavyovimba huku jf ukikutana naye huwez amin unamkuta mtu ana maisha ya kawaida Ila huku jf ukimuona utafikiri ni zimba flani, hili group limechangia kwa kiasi kikubwa kuwafanya watu waogope maisha sababu wao kila kitu Wana ki-exaggerated huku hili Hali wao hawaishi hayo maisha, hii imepelekea watu kuogopa kufanya vitu kwa kufuata comment za huku
Mfano 3 kufail kwenye jambo flani
Kuna watu wamefail kwenye biashara, matokeo yake wamegeuka kuwa ni kero na kikwazo kwa watu wengine ambao wanataka kuingia kwenye hio biashara, wengine ndoa zimewashinda Ila wamegeuka kuwa kikwazo kwa watu wanaotaka kuingia kwenye ndoa, kwenye maisha ukifail wewe kwenye jambo husika haimaanishi kila mtu ata fail, ukifail kwenye jambo husika usiwe ni kikwazo kwa watu wanaotaka kufanya jambo lile like ulilofail kwa kuwajaza hofu
Mfano 3
Una degree unamiaka 35+ still unalipa laki 3 au bado unajitolea alafu unaogopa kuacha hio kazi huo ni uoga wa kiwango Cha juu Cha maisha thamini elimu yako na gharama ulizotumia
Fear of failure and tomorrow imewafanya vijana wengi sana waishi mediocre life
Samahanin uandishi sio mzuri sana
Nani kakushikia bunduki uoe?Naendelea kushangaa kwa nini tulazimishane ndoa ikiwa ni kitu bora
...kitu bora hakilazimishi.
Uzinzi ni nini ? Mungu alisema mwenyewe lini ?Nani kakushikia bunduki uoe?
Achana na ndoa kama haikufai wala hujalazimishwa ISIPOKUWA "ujikane nafsi kutojihusisha na uzinzi" si mimi aliyesema bali ni MUNGU mwenyewe.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Vitu gani vya msingi mtu asipo kuwa kwenye ndoa ana vikosa ?Recently jamiiforum kumekua na mada/uzi za kipumbavu sana, yaani kumekua na mada za mada/Uzi zenye lengo la kuwajaza watu hasa Wanaume uoga najiulizaga hivi tunatengeneza kizazi Cha aina gani
Mfano 1 ndoa na maisha ya mahusiano
Kuna watu ni kutwa kuponda ndoa na maisha ya mahusiano kwa ujumla, hivi kweli mwanaume rijali ni wa kuogopa ndoa au Maisha ya mahusiano seriously, unapinga ndo au Maisha ya mahusiano una embrace usingle alafu uko bize kuhang na fuckbuddy, unapiga punyeto au kununua Malaya huo ni uzwazwa si Bora uwe na mahusiano ambayo ni proper
Ni kweli Kuna watu kwenye historia hawajawahi kuoa na wameifanyia Dunia mfano Nikola Tesla, newton na wengineo, tofauti ya hawa na vijana wa kileo walikua bize kuifanya Dunia a better place walikua bize na mambo yao, Sasa wewe mwenzangu na mim hutaki mahusiano alafu uko bize kununua Malaya, kupiga masturbation, wewe ni failure na ni mwoga wa maisha
Kijana ambaye huogopi maisha tafuta mwanamke oa akizingua kwenye kiwango ambacho hakivumiliki piga chini tafuta mwingine wanawake wameumbiwa Wanaume
Mfano 2 fantasy
Hakuna sehemu Kuna fantasy kama jamiiforum mim Nina account nyingine ya biashara, kwa hiyo nafanyaga biashara na watu wengi wa jamiiforum asikuambie mtu jinsi mtu anavyovimba huku jf ukikutana naye huwez amin unamkuta mtu ana maisha ya kawaida Ila huku jf ukimuona utafikiri ni zimba flani, hili group limechangia kwa kiasi kikubwa kuwafanya watu waogope maisha sababu wao kila kitu Wana ki-exaggerated huku hili Hali wao hawaishi hayo maisha, hii imepelekea watu kuogopa kufanya vitu kwa kufuata comment za huku
Mfano 3 kufail kwenye jambo flani
Kuna watu wamefail kwenye biashara, matokeo yake wamegeuka kuwa ni kero na kikwazo kwa watu wengine ambao wanataka kuingia kwenye hio biashara, wengine ndoa zimewashinda Ila wamegeuka kuwa kikwazo kwa watu wanaotaka kuingia kwenye ndoa, kwenye maisha ukifail wewe kwenye jambo husika haimaanishi kila mtu ata fail, ukifail kwenye jambo husika usiwe ni kikwazo kwa watu wanaotaka kufanya jambo lile like ulilofail kwa kuwajaza hofu
Mfano 3
Una degree unamiaka 35+ still unalipa laki 3 au bado unajitolea alafu unaogopa kuacha hio kazi huo ni uoga wa kiwango Cha juu Cha maisha thamini elimu yako na gharama ulizotumia
Fear of failure and tomorrow imewafanya vijana wengi sana waishi mediocre life
Samahanin uandishi sio mzuri sana
Rijali ni mtu wa namna gani ?Mahusiano ni kwa watu wote ambao ni rijali
Nikila tunda kimasihara inatoshaNa sio lazima pia.
Kama hujui maana ya rijali pole sanaRijali ni mtu wa namna gani ?
Ukikua utajua we si bado mtotoVitu gani vya msingi mtu asipo kuwa kwenye ndoa ana vikosa ?
Kuna faida nyingi unazipata ambaye hujaowa kuliko hasara.Vitu gani vya msingi mtu asipo kuwa kwenye ndoa ana vikosa ?
Mnawadanganya vijana, hamsemi ukweli wa mambo ulivyo ndani ya hizi ndoa, ni wachache sana wanaoenjoy maisha ya ndoa huu ndio ukweli.Ukikua utajua we si bado mtoto
Kwa hiyo watu wawe mashoga sio kama hussuport mahusiano ya kawaida basi wewe ni shogaMnawadanganya vijana, hamsemi ukweli wa mambo ulivyo ndani ya hizi ndoa, ni wachache sana wanaoenjoy maisha ya ndoa huu ndio ukweli.
Vijana jilipueni.Recently jamiiforum kumekua na mada/uzi za kipumbavu sana, yaani kumekua na mada za mada/Uzi zenye lengo la kuwajaza watu hasa Wanaume uoga najiulizaga hivi tunatengeneza kizazi Cha aina gani
Mfano 1 ndoa na maisha ya mahusiano
Kuna watu ni kutwa kuponda ndoa na maisha ya mahusiano kwa ujumla, hivi kweli mwanaume rijali ni wa kuogopa ndoa au Maisha ya mahusiano seriously, unapinga ndo au Maisha ya mahusiano una embrace usingle alafu uko bize kuhang na fuckbuddy, unapiga punyeto au kununua Malaya huo ni uzwazwa si Bora uwe na mahusiano ambayo ni proper
Ni kweli Kuna watu kwenye historia hawajawahi kuoa na wameifanyia Dunia mfano Nikola Tesla, newton na wengineo, tofauti ya hawa na vijana wa kileo walikua bize kuifanya Dunia a better place walikua bize na mambo yao, Sasa wewe mwenzangu na mim hutaki mahusiano alafu uko bize kununua Malaya, kupiga masturbation, wewe ni failure na ni mwoga wa maisha
Kijana ambaye huogopi maisha tafuta mwanamke oa akizingua kwenye kiwango ambacho hakivumiliki piga chini tafuta mwingine wanawake wameumbiwa Wanaume
Mfano 2 fantasy
Hakuna sehemu Kuna fantasy kama jamiiforum mim Nina account nyingine ya biashara, kwa hiyo nafanyaga biashara na watu wengi wa jamiiforum asikuambie mtu jinsi mtu anavyovimba huku jf ukikutana naye huwez amin unamkuta mtu ana maisha ya kawaida Ila huku jf ukimuona utafikiri ni zimba flani, hili group limechangia kwa kiasi kikubwa kuwafanya watu waogope maisha sababu wao kila kitu Wana ki-exaggerated huku hili Hali wao hawaishi hayo maisha, hii imepelekea watu kuogopa kufanya vitu kwa kufuata comment za huku
Mfano 3 kufail kwenye jambo flani
Kuna watu wamefail kwenye biashara, matokeo yake wamegeuka kuwa ni kero na kikwazo kwa watu wengine ambao wanataka kuingia kwenye hio biashara, wengine ndoa zimewashinda Ila wamegeuka kuwa kikwazo kwa watu wanaotaka kuingia kwenye ndoa, kwenye maisha ukifail wewe kwenye jambo husika haimaanishi kila mtu ata fail, ukifail kwenye jambo husika usiwe ni kikwazo kwa watu wanaotaka kufanya jambo lile like ulilofail kwa kuwajaza hofu
Mfano 3
Una degree unamiaka 35+ still unalipa laki 3 au bado unajitolea alafu unaogopa kuacha hio kazi huo ni uoga wa kiwango Cha juu Cha maisha thamini elimu yako na gharama ulizotumia
Fear of failure and tomorrow imewafanya vijana wengi sana waishi mediocre life
Samahanin uandishi sio mzuri sana
Hakuna maisha ya hovyo kama ya u-singleNdoa ni utumwa wa kimwili na kifikra,kuweni makini sana.
Kama ndoa ni mbaya kwanin usiiivunje Sasa, unawaambia watu ndoa ni mbaya alafu upo kwenye ndoaKuna faida nyingi unazipata ambaye hujaowa kuliko hasara.
Mimi Nina mke na Watoto nakuthibitishia hilo.
Kutukana watu matusi hivyo ndivyo vitu vya msingi mnavyo jifunza ndani ya ndoa zenu ?Kwa hiyo watu wawe mashoga sio kama hussuport mahusiano ya kawaida basi wewe ni shoga