Mwanaume acha uoga wa maisha

Mwanaume acha uoga wa maisha

Recently jamiiforum kumekua na mada/uzi za kipumbavu sana, yaani kumekua na mada za mada/Uzi zenye lengo la kuwajaza watu hasa Wanaume uoga najiulizaga hivi tunatengeneza kizazi Cha aina gani

Mfano 1 ndoa na maisha ya mahusiano
Kuna watu ni kutwa kuponda ndoa na maisha ya mahusiano kwa ujumla, hivi kweli mwanaume rijali ni wa kuogopa ndoa au Maisha ya mahusiano seriously, unapinga ndo au Maisha ya mahusiano una embrace usingle alafu uko bize kuhang na fuckbuddy, unapiga punyeto au kununua Malaya huo ni uzwazwa si Bora uwe na mahusiano ambayo ni proper

Ni kweli Kuna watu kwenye historia hawajawahi kuoa na wameifanyia Dunia mfano Nikola Tesla, newton na wengineo, tofauti ya hawa na vijana wa kileo walikua bize kuifanya Dunia a better place walikua bize na mambo yao, Sasa wewe mwenzangu na mim hutaki mahusiano alafu uko bize kununua Malaya, kupiga masturbation, wewe ni failure na ni mwoga wa maisha
Kijana ambaye huogopi maisha tafuta mwanamke oa akizingua kwenye kiwango ambacho hakivumiliki piga chini tafuta mwingine wanawake wameumbiwa Wanaume

Mfano 2 fantasy
Hakuna sehemu Kuna fantasy kama jamiiforum mim Nina account nyingine ya biashara, kwa hiyo nafanyaga biashara na watu wengi wa jamiiforum asikuambie mtu jinsi mtu anavyovimba huku jf ukikutana naye huwez amin unamkuta mtu ana maisha ya kawaida Ila huku jf ukimuona utafikiri ni zimba flani, hili group limechangia kwa kiasi kikubwa kuwafanya watu waogope maisha sababu wao kila kitu Wana ki-exaggerated huku hili Hali wao hawaishi hayo maisha, hii imepelekea watu kuogopa kufanya vitu kwa kufuata comment za huku

Mfano 3 kufail kwenye jambo flani
Kuna watu wamefail kwenye biashara, matokeo yake wamegeuka kuwa ni kero na kikwazo kwa watu wengine ambao wanataka kuingia kwenye hio biashara, wengine ndoa zimewashinda Ila wamegeuka kuwa kikwazo kwa watu wanaotaka kuingia kwenye ndoa, kwenye maisha ukifail wewe kwenye jambo husika haimaanishi kila mtu ata fail, ukifail kwenye jambo husika usiwe ni kikwazo kwa watu wanaotaka kufanya jambo lile like ulilofail kwa kuwajaza hofu

Mfano 3
Una degree unamiaka 35+ still unalipa laki 3 au bado unajitolea alafu unaogopa kuacha hio kazi huo ni uoga wa kiwango Cha juu Cha maisha thamini elimu yako na gharama ulizotumia

Fear of failure and tomorrow imewafanya vijana wengi sana waishi mediocre life

Samahanin uandishi sio mzuri sana
Congratulations... umewapa za uso vijana wengi wa kibongo ambao ni waoga sana kwenye maisha kulinganisha na jirani zetu wa africa mashariki. Hawana uthubutu kabisa kazi kulia lia na kulalamika kwa kila kitu na kuwadiss wachakarikaji waliopo South Africa na ughaibuni. Safi sana kwa haya makavu live.
 
Recently jamiiforum kumekua na mada/uzi za kipumbavu sana, yaani kumekua na mada za mada/Uzi zenye lengo la kuwajaza watu hasa Wanaume uoga najiulizaga hivi tunatengeneza kizazi Cha aina gani

Mfano 1 ndoa na maisha ya mahusiano
Kuna watu ni kutwa kuponda ndoa na maisha ya mahusiano kwa ujumla, hivi kweli mwanaume rijali ni wa kuogopa ndoa au Maisha ya mahusiano seriously, unapinga ndo au Maisha ya mahusiano una embrace usingle alafu uko bize kuhang na fuckbuddy, unapiga punyeto au kununua Malaya huo ni uzwazwa si Bora uwe na mahusiano ambayo ni proper

Ni kweli Kuna watu kwenye historia hawajawahi kuoa na wameifanyia Dunia mfano Nikola Tesla, newton na wengineo, tofauti ya hawa na vijana wa kileo walikua bize kuifanya Dunia a better place walikua bize na mambo yao, Sasa wewe mwenzangu na mim hutaki mahusiano alafu uko bize kununua Malaya, kupiga masturbation, wewe ni failure na ni mwoga wa maisha
Kijana ambaye huogopi maisha tafuta mwanamke oa akizingua kwenye kiwango ambacho hakivumiliki piga chini tafuta mwingine wanawake wameumbiwa Wanaume

Mfano 2 fantasy
Hakuna sehemu Kuna fantasy kama jamiiforum mim Nina account nyingine ya biashara, kwa hiyo nafanyaga biashara na watu wengi wa jamiiforum asikuambie mtu jinsi mtu anavyovimba huku jf ukikutana naye huwez amin unamkuta mtu ana maisha ya kawaida Ila huku jf ukimuona utafikiri ni zimba flani, hili group limechangia kwa kiasi kikubwa kuwafanya watu waogope maisha sababu wao kila kitu Wana ki-exaggerated huku hili Hali wao hawaishi hayo maisha, hii imepelekea watu kuogopa kufanya vitu kwa kufuata comment za huku

Mfano 3 kufail kwenye jambo flani
Kuna watu wamefail kwenye biashara, matokeo yake wamegeuka kuwa ni kero na kikwazo kwa watu wengine ambao wanataka kuingia kwenye hio biashara, wengine ndoa zimewashinda Ila wamegeuka kuwa kikwazo kwa watu wanaotaka kuingia kwenye ndoa, kwenye maisha ukifail wewe kwenye jambo husika haimaanishi kila mtu ata fail, ukifail kwenye jambo husika usiwe ni kikwazo kwa watu wanaotaka kufanya jambo lile like ulilofail kwa kuwajaza hofu

Mfano 3
Una degree unamiaka 35+ still unalipa laki 3 au bado unajitolea alafu unaogopa kuacha hio kazi huo ni uoga wa kiwango Cha juu Cha maisha thamini elimu yako na gharama ulizotumia

Fear of failure and tomorrow imewafanya vijana wengi sana waishi mediocre life

Samahanin uandishi sio mzuri sana
Vitu gani vya msingi mtu asipo kuwa kwenye ndoa ana vikosa ?
 
Recently jamiiforum kumekua na mada/uzi za kipumbavu sana, yaani kumekua na mada za mada/Uzi zenye lengo la kuwajaza watu hasa Wanaume uoga najiulizaga hivi tunatengeneza kizazi Cha aina gani

Mfano 1 ndoa na maisha ya mahusiano
Kuna watu ni kutwa kuponda ndoa na maisha ya mahusiano kwa ujumla, hivi kweli mwanaume rijali ni wa kuogopa ndoa au Maisha ya mahusiano seriously, unapinga ndo au Maisha ya mahusiano una embrace usingle alafu uko bize kuhang na fuckbuddy, unapiga punyeto au kununua Malaya huo ni uzwazwa si Bora uwe na mahusiano ambayo ni proper

Ni kweli Kuna watu kwenye historia hawajawahi kuoa na wameifanyia Dunia mfano Nikola Tesla, newton na wengineo, tofauti ya hawa na vijana wa kileo walikua bize kuifanya Dunia a better place walikua bize na mambo yao, Sasa wewe mwenzangu na mim hutaki mahusiano alafu uko bize kununua Malaya, kupiga masturbation, wewe ni failure na ni mwoga wa maisha
Kijana ambaye huogopi maisha tafuta mwanamke oa akizingua kwenye kiwango ambacho hakivumiliki piga chini tafuta mwingine wanawake wameumbiwa Wanaume

Mfano 2 fantasy
Hakuna sehemu Kuna fantasy kama jamiiforum mim Nina account nyingine ya biashara, kwa hiyo nafanyaga biashara na watu wengi wa jamiiforum asikuambie mtu jinsi mtu anavyovimba huku jf ukikutana naye huwez amin unamkuta mtu ana maisha ya kawaida Ila huku jf ukimuona utafikiri ni zimba flani, hili group limechangia kwa kiasi kikubwa kuwafanya watu waogope maisha sababu wao kila kitu Wana ki-exaggerated huku hili Hali wao hawaishi hayo maisha, hii imepelekea watu kuogopa kufanya vitu kwa kufuata comment za huku

Mfano 3 kufail kwenye jambo flani
Kuna watu wamefail kwenye biashara, matokeo yake wamegeuka kuwa ni kero na kikwazo kwa watu wengine ambao wanataka kuingia kwenye hio biashara, wengine ndoa zimewashinda Ila wamegeuka kuwa kikwazo kwa watu wanaotaka kuingia kwenye ndoa, kwenye maisha ukifail wewe kwenye jambo husika haimaanishi kila mtu ata fail, ukifail kwenye jambo husika usiwe ni kikwazo kwa watu wanaotaka kufanya jambo lile like ulilofail kwa kuwajaza hofu

Mfano 3
Una degree unamiaka 35+ still unalipa laki 3 au bado unajitolea alafu unaogopa kuacha hio kazi huo ni uoga wa kiwango Cha juu Cha maisha thamini elimu yako na gharama ulizotumia

Fear of failure and tomorrow imewafanya vijana wengi sana waishi mediocre life

Samahanin uandishi sio mzuri sana
Vijana jilipueni.
 
Back
Top Bottom