Mwanaume acha uoga wa maisha

Mwanaume acha uoga wa maisha

💯🤝

KIJANA KATAA NDOA

NDOA NI UTAPELI

AFYA YA AKILI NI BORA KULIKO NDOA
Kuna watu wako bize na wanawake ambao sio level zao wakiwakosa wanaishia kumaliza makasiriko Yao kwa kuponda ndoa au mahusiano, kwenye maisha tafuta wanawake ambao ni level zako, achana na wale ambao sio level zako utaumia sana, mwanamke ambaye sio level zako mtaishia kushindana kila siku na ni ngumu kukiheshimu. Ni ngumu sana kukuta mtu ana-deal na wanawake wa level zake hutakaa uwe na haya makasiriko
 
Kusoma thread ya mtu ety anaiponda ndoa na ukachukulia serious ety kwamba anawapotosha vijana,,ni ujinga na kukosa akili narudia tena ni ujinga na kukosa akili,,,wengi humu wanajielewa na wanajua wanafanya nini that's why almost wote humu tuna fake ID,,,Ku-complain juu ya sijui upotoshwaji wa ndoa ni utoto wa hali ya juu,,haohao wanaoiponda ndoa una uhakika gani kuwa hawajaoa??,,,ikumbukwe pia kila mtu ana maamuzi yake juu ya maisha yake,,,huwezi mpangia mtu.
 
Mtoto anakua akimuona baba Leo anamahusiano na mwanamke huyu kesho mwingine, au mama kutwa kubailisha Wanaume ni ngumu sana kuja kuwa na heshima, assume hakuna ndoa lazima kwenye hio jamii kuwe ni uwanja wa vurugu
 
Kusoma thread ya mtu ety anaiponda ndoa na ukachukulia serious ety kwamba anawapotosha vijana,,ni ujinga na kukosa akili narudia tena ni ujinga na kukosa akili,,,wengi humu wanajielewa na wanajua wanafanya nini that's why almost wote humu tuna fake ID,,,Ku-complain juu ya sijui upotoshwaji wa ndoa ni utoto wa hali ya juu,,haohao wanaoiponda ndoa una uhakika gani kuwa hawajaoa??,,,ikumbukwe pia kila mtu ana maamuzi yake juu ya maisha yake,,,huwezi mpangia mtu.
Hii ni forum na mim natumia haki yangu nimejaibu kukumbusha, kama mtu anaweza amka na kuandika Uzi wa kuiponda ndoa Kuna ajabu gani mim kuanzisha Uzi wa kuisifia ndoa
 
Hii ni forum na mim natumia haki yangu nimejaibu kukumbusha, kama mtu anaweza amka na kuandika Uzi wa kuiponda ndoa Kuna ajabu gani mim kuanzisha Uzi wa kuisifia ndoa
Bila shaka umesoma comments za wengi,,anyway endeleeni kufanya competition.
 
Wengine wanapotosha wenzao ndoa kumbe ni mashoga humu ila sabbu hatujuani basi watu wanatembea na upepo. Kuna wengine wanaiponda ila sabbu yake ilivunjika au ina mgogoro basi anahisi wanaume wote wataoa mtu km mkewe.. lazima ifike muda watu waache kupotoshana ujinga. Mtu anaeshupalia hamna kuoa napata mashaka nae sana huwenda akawa UPINDE
 
Recently jamiiforum kumekua na mada/uzi za kipumbavu sana, yaani kumekua na mada za mada/Uzi zenye lengo la kuwajaza watu hasa Wanaume uoga najiulizaga hivi tunatengeneza kizazi Cha aina gani

Mfano 1 ndoa na maisha ya mahusiano
Kuna watu ni kutwa kuponda ndoa na maisha ya mahusiano kwa ujumla, hivi kweli mwanaume rijali ni wa kuogopa ndoa au Maisha ya mahusiano seriously, unapinga ndo au Maisha ya mahusiano una embrace usingle alafu uko bize kuhang na fuckbuddy, unapiga punyeto au kununua Malaya huo ni uzwazwa si Bora uwe na mahusiano ambayo ni proper

Kuna watu wako bize na wanawake ambao sio level zao wakiwakosa wanaishia kumaliza makasiriko Yao kwa kuponda ndoa au mahusiano, kwenye maisha tafuta wanawake ambao ni level zako, achana na wale ambao sio level zako utaumia sana, mwanamke ambaye sio level zako mtaishia kushindana kila siku na ni ngumu kukiheshimu. Ni ngumu sana kukuta mtu ana-deal na wanawake wa level zake alafu umkute analalamika kuhusu mahusiano

Ni kweli Kuna watu kwenye historia hawajawahi kuoa na wameifanyia Dunia mfano Nikola Tesla, newton na wengineo, tofauti ya hawa na vijana wa kileo walikua bize kuifanya Dunia a better place walikua bize na mambo yao, Sasa wewe mwenzangu na mim hutaki mahusiano alafu uko bize kununua Malaya, kupiga masturbation, wewe ni failure na ni mwoga wa maisha
Kijana ambaye huogopi maisha tafuta mwanamke oa akizingua kwenye kiwango ambacho hakivumiliki piga chini tafuta mwingine wanawake wameumbiwa Wanaume

Kuna wazee kipindi Chao Cha ujana hawajaoa wamekua ni kikwazo wanataka kuhuumiwa na wanawake (wabibi) ambao Wana waume zao yaan wamegeuka kua ni tatizo kwa ndugu zao asiyekuambie mtu umuhimu wa kuwa mke na watoto utauona ukiwa Mzee wakati nguvu huna

Hamna kitu kibaya kuzaa zaa na kila mwanamke, jamii inayokataa ndoa lazima kuwe na kizazi ambacho hakina heshima na malezi mabovu ni tofauti na mtoto aliyezaliwa na baba na mama, mtoto anakua anamuona baba au mama kila uchwao ni kubailisha Leo yule kesho mwingine unadhani mtoto atakua na heshima ni ngumu

Mfano 2 fantasy
Hakuna sehemu Kuna fantasy kama jamiiforum mim Nina account nyingine ya biashara, kwa hiyo nafanyaga biashara na watu wengi wa jamiiforum asikuambie mtu jinsi mtu anavyovimba huku jf ukikutana naye huwez amin unamkuta mtu ana maisha ya kawaida Ila huku jf ukimuona utafikiri ni zimba flani, hili group limechangia kwa kiasi kikubwa kuwafanya watu waogope maisha sababu wao kila kitu Wana ki-exaggerated huku hili Hali wao hawaishi hayo maisha, hii imepelekea watu kuogopa kufanya vitu kwa kufuata comment za huku

Mfano 3 kufail kwenye jambo flani
Kuna watu wamefail kwenye biashara, matokeo yake wamegeuka kuwa ni kero na kikwazo kwa watu wengine ambao wanataka kuingia kwenye hio biashara, wengine ndoa zimewashinda Ila wamegeuka kuwa kikwazo kwa watu wanaotaka kuingia kwenye ndoa, kwenye maisha ukifail wewe kwenye jambo husika haimaanishi kila mtu ata fail, ukifail kwenye jambo husika usiwe ni kikwazo kwa watu wanaotaka kufanya jambo lile like ulilofail kwa kuwajaza hofu kila mtu ana maisha yake na Bahati yake

Mfano 3
Una degree unamiaka 35+ still unalipa laki 3 au bado unajitolea alafu unaogopa kuacha hio kazi huo ni uoga wa kiwango Cha juu Cha maisha thamini elimu yako na gharama ulizotumia

Fear of failure and tomorrow imewafanya vijana wengi sana waishi mediocre life

Samahanin uandishi sio mzuri sana
Mbona Mimi mzee wangu ana miaka 70 na Hana mke zaidi ya miaka 50 iliyopita Anaishi mwenyewe yupo fit anakimbia Kama mbape
Wewe nioneshe mzee mwenye mke wa miaka 70 anayweza kukimbia Kama mbape
 
Mtoa Mada ni mjinga Sana Mimi baba yangu yupo , na miaka 70 hajaoa na ameishi Maisha yake yote sijawai kumuona na Mwanamke zaidi ya miaka 50 na Hana stress katusomesha na kajenga nyumba kazaa na Hadi Muda huu nakaa naye Mimi nafata nyayo zake
 
Mbona Mimi mzee wangu ana miaka 70 na Hana mke zaidi ya miaka 50 iliyopita Anaishi mwenyewe yupo fit anakimbia Kama mbape
Wewe nioneshe mzee mwenye mke wa miaka 70 anayweza kukimbia Kama mbape
Watu kama hao ni wangapi wanaweza ishi hivyo ndo swali la kijiuliza, mwanaume mwenye nguvu za kiume 100 💯 hawez ishi kipindi kirefu hivyo
 
Back
Top Bottom