Mwanaume ajitokeza na kudai ameporwa demu na Nuh Mziwanda!

Mwanaume ajitokeza na kudai ameporwa demu na Nuh Mziwanda!

Nadhani mamlaka husika zinahusu hapa kama wanaweza kuzuia ndoa za umri "chini ya kiwango na vigezo" wanashindwa nini kuzuia uzinifu uliokosa "vigezo"na "kiwango"
 
Wanaume wa dar bana akili saizi ya pilton....

Mtoa mada utakuwa ni mwanaume wa dar
 
Huyo Dada mpz wake mziwanda ni Mwanafunzi wa drs la saba aliyeachishwa Shule ya msingi Gilmani Rutihinda iliyopo Kata ya Kigogo wilaya ya kinondoni. deal limechezwa mtoto kaachishwa Shule.Na amesajiliwa kufanya Pepar ya mwezi September nashangaa hata hatua za kinidhamu hazija chukuliwa hii ndiyo Tanzania ya magufuri kwa kwenye Pesa wanatesa
kwelii?!!
 
Back
Top Bottom