beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Peter Mwangi (44) amejiua baada ya kubishana na Mama yake ambaye amewaambia Polisi walianza kubiashana baada ya yeye kumpa zaidi ya Kilo 10 za mahindi akauze lakini alitumia fedha hizo kunywa pombe.
Baada ya mabishano, Mama yake alipokea taarifa baadae kuwa Mwanaye amejiua. Mwili wake umehifadhiwa ukisubiri uchunguzi zaidi.
Kwa mujibu wa mashahidi wa tukio hilo lililotokea Kijiji cha Mutinu Kaunti ya Kirinyaga, Mwangi alijirusha kwenye bwawa la samaki lililokuwepo kwenye shamba la karibu na kufariki.
===
A 44-year-old man committed suicide on Monday after a confrontation with his mother at Mutinu village in Ndia Constituency, Kirinyaga County.
According to eye witnesses, the deceased; Peter Mwangi, threw himself into a fish pond at a nearby farm where he drowned.
The mother of the deceased told police that she got into an argument with her deceased son after she gave him over 10 kilogrammes of maize to sell but he used the money to drink illicit alcohol.
After the disagreement, the woman said she was later informed that the 44-year-old had killed himself.
“I had been feeding him since his wife disappeared from home after disagreements. Right now i’m taking care of his son,” his mother said.
Ndia Deputy Sub-county Deputy County Commissioner Moses Ivuto said the body was taken Kibugi Funeral Home waiting postmortem.
Source: Citizentv.co.ke
Baada ya mabishano, Mama yake alipokea taarifa baadae kuwa Mwanaye amejiua. Mwili wake umehifadhiwa ukisubiri uchunguzi zaidi.
Kwa mujibu wa mashahidi wa tukio hilo lililotokea Kijiji cha Mutinu Kaunti ya Kirinyaga, Mwangi alijirusha kwenye bwawa la samaki lililokuwepo kwenye shamba la karibu na kufariki.
===
A 44-year-old man committed suicide on Monday after a confrontation with his mother at Mutinu village in Ndia Constituency, Kirinyaga County.
According to eye witnesses, the deceased; Peter Mwangi, threw himself into a fish pond at a nearby farm where he drowned.
The mother of the deceased told police that she got into an argument with her deceased son after she gave him over 10 kilogrammes of maize to sell but he used the money to drink illicit alcohol.
After the disagreement, the woman said she was later informed that the 44-year-old had killed himself.
“I had been feeding him since his wife disappeared from home after disagreements. Right now i’m taking care of his son,” his mother said.
Ndia Deputy Sub-county Deputy County Commissioner Moses Ivuto said the body was taken Kibugi Funeral Home waiting postmortem.
Source: Citizentv.co.ke