Mwanaume akikupenda na kukuhitaji katika maisha yake hakosi namna yakukupata

fiction story
 
Sasa chibonge wangu [emoji8][emoji8][emoji182][emoji182], ukifanya kunipasia 40k unahisi kuna kitu kitapungua kwako??

Nweiii watu wa kweli wapoo na wana malengo mazuri, nje ya Ngonoo. [emoji122][emoji122][emoji122] to him
Mungu anisamehe tu kwa kweli, ila sijui kwa nini kila nikiangalia hio avatar yako akili yangu hua inanipeleka kwa Sarah Bank[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aaah kwamba nitumie wakati uliopo timilifu?😁 haya endelea kunielewesha, mwamba anamega keki ya taifa hadi hapa story ilipoishia?😁
Kipi bora kati ya hivi?
1.umuombe mtu pesa akupe,
Au
2.akuonyeshe njia namna ya kuipata hiyo pesa uliyomuomba kila mwezi?


Kama na hapa hutuelewa ikakurahisishia namna ya kuelewa uzi….hakika sitakuwa na msaada
 
Aiseee dadeq! Hii kitu aisee sijui hata kwann umeweka picha🤔huku Kwa chalamila napata Kwa tabu mpaka niweke order
Kigamboni pale Kwa Mworomboo wanayo(kama bado hawajahama)kituo cha bus ni Kwa Chagani.

Upande wa kulia kama unatokea tungi(unavuka barabara)
Upande wa kushoto kama unatokea Ferry.
Inatazamana na uzio wa Jeshi.
 
Maisha yalivyo nyoso unaweza kushangaa mume kabisa wa kuoa binti yetu yupo kwenye hao wateja wa uyo mwamba[emoji16]
 
Ukute umekunywa hujalewa sana yaan unakua na wenge flan afu kale kamzuga ka kukojolea kichakani 😁😁😁😁Raha yake
Nimejaribu kupiga picha ya mbege mkuu lakini ikaja na ya migomba shambani 🤪
 
Kipi bora kati ya hivi?
1.umuombe mtu pesa akupe,
Au
2.akuonyeshe njia namna ya kuipata hiyo pesa uliyomuomba kila mwezi?


Kama na hapa hutuelewa ikakurahisishia namna ya kuelewa uzi….hakika sitakuwa na msaada
Nimeshakuelewa mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…