Mwanaume akikupenda na kukuhitaji katika maisha yake hakosi namna yakukupata

Haya bana mpe Hi! Jamaa
 
Yaani sijaelewa kabisa. Au ni yule msukuma wako?
 
Huu Uzi kumaanisha mtu hakumokosolewa yaani Uzi mrefu ivo afu mtu hajapikwa traaaako,,,,kama utarudi kumalizia SAWA ila nje nahapo sio sawa
 
Huu Uzi kumaanisha mtu hakumokosolewa yaani Uzi mrefu ivo afu mtu hajapikwa traaaako,,,,kama utarudi kumalizia SAWA ila nje nahapo sio sawa
 
Sawa ila wewe ni Dume sio Jike,

Jike hawezi kuandika hivo, wachache tulosomea Cuba tulifundishwa kujua jinsia ya mtu kupitia maandishi yake, analysis inaonesha wewe ni Dume unaletavtu story hapa za kufikirika
 
Hakika inahitaji watu wachache sana kuelewa.na wewe ni mmojawapo aise😘
Nimeanza kusoma alama za picha mdogo sana kama miaka Tisa,mshua wangu alikuwa anarudi na gazeti halafu ananipa katuni ya Mzee Kingo nimsimulie,basi mara napatia mara nakosea,baadae nikawa fundi😁
 
Huu Uzi kumaanisha mtu hakumokosolewa yaani Uzi mrefu ivo afu mtu hajapikwa traaaako,,,,kama utarudi kumalizia SAWA ila nje nahapo sio sawa
Zungusha ubongo kidogo mkuu.acha kujilemaza
 
Sawa ila wewe ni Dume sio Jike,

Jike hawezi kuandika hivo, wachache tulosomea Cuba tulifundishwa kujua jinsia ya mtu kupitia maandishi yake, analysis inaonesha wewe ni Dume unaletavtu story hapa za kufikirika
Ukiona nafaa kuwa mwanaume fresh tu.
Ukiona nafaa kuwa mwanamke shegaa tu.

Usiangalie miandiko utapote chifu
 
mwamba yuko very strategic sana... nimemuelewa!
 
Sio maokoto tu…hapana!ni maokoto yenye faida.

Soma Kwa umakini HA

habari ya siku dear
ndio hayo hayo mwenyewe huwa sikati tamaa nikidhamiria haijalishi nitasubiri kwa muda gani,

salama za masiku uko salama mama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…