Reuben Challe
JF-Expert Member
- Dec 10, 2021
- 2,940
- 5,511
SexWakati huo mwanaume anakuja na mazaga zaga yote hayo uliyotaja
Wewe una nini na nini cha ku-offer?
Sifa zote hizo awe nazo mtu mmoja?🥺🥺🥺Awe na mwili umejengeka kiasi, awe na kakitambi kidogo. Asiwe amekonda kwa kweli mimi wanaume vimbaumbau wakae mbali kabisa nami.
Mwanaume awe anajiamini. Mpole lakini pia mkorofi akichokozwa na awe anajiamini. Napenda mwanaume ambaye muda mwingi in public yupo serious. Ila aliwa nami room au home tutaniane na tucheze.
But pia ani treat mimi kama mtoto na pia aniheshimu na kunipenda. Awe muwazi... Mkweli asifiche hisia zake kwangu. Apende watoto na awe msikivu. Asiwe na mwili wa uzembe. Afanye zoezi kidogo atanuke juu akinikumbatia ni feel. Awe msafi asinuke jasho wala kikwapa.
Ajipende na apendeze na kakitambi kidogo ka kuvalia suruali ya kitambaa na shati. Apige mavazi tofauti tofauti. Hapo sasa nitakuwa natamani tu nimwangalie akiwa anafungua mkanda anataka kupanda kitandani tufanye mapenzi. Huwa napenda hicho kipengele... Avue namwangalia.... Kisha arukie kitandani na kuanza nikiss kila sehemu.
Tuvulana twa siku hizi hatuna hizi sifa... Tunakaa kujisifia tu ujinga na tunafikiri wanawake wote wanashida na pesa... Tunalamba lamba tu lips. Mimi mwanaume miaka ya nyuma nilikuwa nampima pia kwenye ulaji wake. Kama anakula kamsosi kama ka mtoto au msichana hata sitotaka kutoka naye out tena. Mi nakula... Na mazoezi nafanya sina kitambi. Chakula kinaenda maeneo yake stahili.
Namtafutia mdogo wangu mwanaume wa maana mwenye sifa hizo. Mi nimeshapata wangu. Umbo lake naye ni namba 8 ya ukweli si ya michongo. Graduate anafanya biashara ana duka la nguo na viatu.
Dogo mpenda chips mizigo Kama hiyo hauwezi piga,tuachie Kaka zako,kula kwa macho tuSharamdala ana sifa zote izo ila dome zege 😂
Hilo jina kama dawa ya kufukiza majini.... Akuuuuu .... Sitaki kabsaaaaaa.litutumbwe unaitwa huku mtu mwenye mwili na kitambi chako...
Ulinunua kwenye mtumba? 😀 😀Khaaa nina kitambaa kama cha hii nguo aliyovaa huyu kiumbe hii ina maana gani mkuu Equation x 😂😂🤓🤓😂😂
Jibu zuri Sana nimelipenda,..Hili jibu atakuwa nalo yeye ambaye ndo ninaye.
Ndioo yaani hapa nabaki nacheke tuuUlinunua kwenye mtumba? 😀 😀
Amna ni mtu poa sana ana nguvu nyingi ni daktari wa sayansi ya ulimwenguni🤣🤣 jina lingine anaitwa tutuberti hahahaa🤣😂😂 shida ndogo ndogo anamaliza huyo...Hilo jina kama dawa ya kufukiza majini.... Akuuuuu .... Sitaki kabsaaaaaa.
🤣🤣🤣Kama unanizungunzia vile Gru master villain. Ukiniona na kitambi changu unakuwa hoi😬View attachment 2641754
Noma sana!Awe na mwili umejengeka kiasi, awe na kakitambi kidogo. Asiwe amekonda kwa kweli mimi wanaume vimbaumbau wakae mbali kabisa nami.
Mwanaume awe anajiamini. Mpole lakini pia mkorofi akichokozwa na awe anajiamini. Napenda mwanaume ambaye muda mwingi in public yupo serious. Ila aliwa nami room au home tutaniane na tucheze.
But pia ani treat mimi kama mtoto na pia aniheshimu na kunipenda. Awe muwazi... Mkweli asifiche hisia zake kwangu. Apende watoto na awe msikivu. Asiwe na mwili wa uzembe. Afanye zoezi kidogo atanuke juu akinikumbatia ni feel. Awe msafi asinuke jasho wala kikwapa.
Ajipende na apendeze na kakitambi kidogo ka kuvalia suruali ya kitambaa na shati. Apige mavazi tofauti tofauti. Hapo sasa nitakuwa natamani tu nimwangalie akiwa anafungua mkanda anataka kupanda kitandani tufanye mapenzi. Huwa napenda hicho kipengele... Avue namwangalia.... Kisha arukie kitandani na kuanza nikiss kila sehemu.
Tuvulana twa siku hizi hatuna hizi sifa... Tunakaa kujisifia tu ujinga na tunafikiri wanawake wote wanashida na pesa... Tunalamba lamba tu lips. Mimi mwanaume miaka ya nyuma nilikuwa nampima pia kwenye ulaji wake. Kama anakula kamsosi kama ka mtoto au msichana hata sitotaka kutoka naye out tena. Mi nakula... Na mazoezi nafanya sina kitambi. Chakula kinaenda maeneo yake stahili.
Namtafutia mdogo wangu mwanaume wa maana mwenye sifa hizo. Mi nimeshapata wangu. Umbo lake naye ni namba 8 ya ukweli si ya michongo. Graduate anafanya biashara ana duka la nguo na viatu.
😂😂😂 kakq mwenyewe unakula pizaDogo mpenda chips mizigo Kama hiyo hauwezi piga,tuachie Kaka zako,kula kwa macho tu
scolastika nakuita...Kwenye maisha kuna baadhi ya vigezo tunavitaka ila sio vya msingi ndo maana ndoa hazidumu,single maza wanaongezeka kila siku. Linapokuja suala la maisha baadhi ya vitu havina umuhimu kwenye kujenga familia
Ok unamtaka wa hivyo alafu yeye hakupendi au yeye ajali kuhusu mambo ya familia maana yake utaishi maisha ya shida sana.
Unataka tako alafu tako lenyewe haliwezi hata kukufulia nguo,utajuta maisha yako yote.
Husband material+wife material is what matters