Mwanaume akiwa na mguu mdogo simkubali kabisa

Mwanaume akiwa na mguu mdogo simkubali kabisa

Nasikia eti na sie wanawake, wanaume wanatupima kwa kuangalia MIDOMO yetu.
Wanasema umbile la mdomo wako hasa ukumbwa wake ndio umbile la K.🙄🙄🙄🙄🙄
Unataka kusemaje kuhusu wewe sasa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haipendezi wanaume kuwa na mguu mdogo,mwanaume kamguu kama msichana ni aibu kubwa,mwanaume guu unatakiwa angalau avae 45 au 44 ila sio 39 au 40 kama mdada. Wanaume wa dar vimguu vidogo sana na wanavaa visendo vya kike na vile visoksi vya watoto hawapendezi jamn[emoji1] [emoji1]
So, unapenda guu kama hili!!?
IMG_20180915_020718.jpg
 
Mbona na nyie wa kina dada hua mna miguu myembamba, mkivaa viatu mnakua kama mmesimamia mikono, ila hatusemi.

Mwanamke mguu wa bia, furushi kama kontena la makinikia bana.
 
Haipendezi wanaume kuwa na mguu mdogo,mwanaume kamguu kama msichana ni aibu kubwa,mwanaume guu unatakiwa angalau avae 45 au 44 ila sio 39 au 40 kama mdada. Wanaume wa dar vimguu vidogo sana na wanavaa visendo vya kike na vile visoksi vya watoto hawapendezi jamn[emoji1] [emoji1]
Pole sana.
 
dadek, leo nimetukanwa!


I'm offended to my inner core!

unless uwe unamaanisha mguu mwingine tofauti na ninaoufikiria!
 
Haipendezi wanaume kuwa na mguu mdogo,mwanaume kamguu kama msichana ni aibu kubwa,mwanaume guu unatakiwa angalau avae 45 au 44 ila sio 39 au 40 kama mdada. Wanaume wa dar vimguu vidogo sana na wanavaa visendo vya kike na vile visoksi vya watoto hawapendezi jamn[emoji1] [emoji1]
Sijaelewa mada mnyetishaji unaweza kufafanua kidogo mzee mama?
 
Asante kwa kuwanenea....afu huko dar wanaume huwa mnawafanya nn.....mbona mambo mengi wanafanya ili kuwavutia nyie but still mwishowe mnakuwa hamupendezwi na hvo vitabia.

Hebu orodhesheni vile mnapenda wajiweke......wanaume wa mikoani tumechoka kuwatafunia
 
Haipendezi wanaume kuwa na mguu mdogo,mwanaume kamguu kama msichana ni aibu kubwa,mwanaume guu unatakiwa angalau avae 45 au 44 ila sio 39 au 40 kama mdada. Wanaume wa dar vimguu vidogo sana na wanavaa visendo vya kike na vile visoksi vya watoto hawapendezi jamn[emoji1] [emoji1]
Uko na shida ubongoni mwako wewe..
 
Haipendezi wanaume kuwa na mguu mdogo,mwanaume kamguu kama msichana ni aibu kubwa,mwanaume guu unatakiwa angalau avae 45 au 44 ila sio 39 au 40 kama mdada. Wanaume wa dar vimguu vidogo sana na wanavaa visendo vya kike na vile visoksi vya watoto hawapendezi jamn[emoji1] [emoji1]
naskia mguu unatoa hints huyu mtu ni kibamia au la
 
Yaan kuna watu matahiira kabisa,sasa watu wanaoishi dar si wanatoka mikoani!wachache ndio wamezaliwa hapo
 
Wadada wa siku hizi ukisikia wanakuuliza size ya mguu kama wanataka kukupa zawadi ya kiatu, halafu kiatu hununuliwi, ujue wametaka kuuliza size ya mengine kwa ustaarabu wa mjini.

Fumbo mfumbie mjinga, mwerevu atang'amua.
 
Back
Top Bottom