Mwanaume aliye serious please.

wanakuja sasa hivi mie nimeshaoa kitambo
 
Wanaume siku hizi wako wapi, au ni mambo ya maendeleo ya kiteknolojia watu wanapanua wigo tu?
 
Mbona hujadondosa CV ya kutosha? Kigezo chako ni umri tu??
 
Kuna uzi humu wa jamaa anatafuta bibie kama wewe...utafute nafikiri mtaafikiana...THERE IS NO COINCIDENCE IN THE UNIVERSE.....
 
Upo mjini au kijijini.??? Maana binafsi naogopa sana hii sela "Muke wa Mtu ndio habari ya Mujini kwa sasa"
Otherwise am ready.
 
mi ni ustaadh upo tayari?lakini sitakula nyama uliyochinja wewe
 
Wanaume wamekuwa wachache nadhani ndio maana wazee miaka hiyo walikuwa wanaoa wanawake wengi ili japo kuwagawana hao wanaume waliokuwa wachache.
 
bibie ni pm, vigezo vyote unavyotaka ninavyo, na mengine mazuri tu ninayo
 
Tuma picha alexg@rome.com na e mail yako.

Hahaha..yaani umetoa anwani ya barua pepe atume picha kisha unataka atume na email yake!!!! Kazi kweli kweli.
 
please niko serious nataka mume, anaye maanisha age 28- 32, Christian, me nina miaka 26 Nimeajiliwa hapa Dar

Nipo serious sana tu, ingia kwenye private nipe macontact yako dada angu tuwasiliane, nafikiri vigezo vyote nimefit, nipo serious again.
 
Nitajie kwanza Mshahara wako ni kiasi gani, unaishi wapi? ni kwako au umepanga? una gari? kama una vitu vyote hivo mi niko tayari fasta niPM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…