Nitajie kwanza Mshahara wako ni kiasi gani, unaishi wapi? ni kwako au umepanga? una gari? kama una vitu vyote hivo mi niko tayari fasta niPM
please niko serious nataka mume, anaye maanisha age 28- 32, Christian, me nina miaka 26 Nimeajiliwa hapa Dar
please niko serious nataka mume, anaye maanisha age 28- 32, Christian, me nina miaka 26 Nimeajiliwa hapa Dar
huwezi kupata mume humu jf, we nenda kwamwombe Mungu kanisani utapata. mume mwema hutoka kwa Bwana.please niko serious nataka mume, anaye maanisha age 28- 32, Christian, me nina miaka 26 Nimeajiliwa hapa Dar
Kweli miaka hii wanaume wamekuwa bidhaa adimu Preta mtakomajeee....tunaringaaaa!.:biggrin:please niko serious nataka mume, anaye maanisha age 28- 32, Christian, me nina miaka 26 Nimeajiliwa hapa Dar