Mwanaume aliye tayari kuanza maisha ya ndoa aje

Mwanaume aliye tayari kuanza maisha ya ndoa aje

Am 28
looking for a man ready to start a family with me sio utani..niko serious
Nimeajiriwa kampuni binafsi,
sina mtoto,
mimi ni mkristo mlutheri
kabila langu mchaga,

mwanaume atakayekuja
awe 33+
mkristo
anajishughulisha
awe so serious na hili swala sio utani

if u think ukoserious just nipm.
Niko hapa mai oko mbonyi xafo ulkuso kumonyi...
 
Am 28
looking for a man ready to start a family with me sio utani..niko serious
Nimeajiriwa kampuni binafsi,
sina mtoto,
mimi ni mkristo mlutheri
kabila langu mchaga,

mwanaume atakayekuja
awe 33+
mkristo
anajishughulisha
awe so serious na hili swala sio utani

if u think ukoserious just nipm.
Image,tafadhali.
 
Ungenimbia uchumba ingekuwa poa ila ndoa tabia hujaijua unasema tu ndoa moko kwa moko iyo ni hatari kwa kweli
 
Jamani mtu una mp kwa njia gani? Mimi sijui
Hiii ni kozi ya miezi mitatu, unajaza form ya maombi ya kujigunza ku pm, ña ina ada yake, kama upo tayari kwa mafunzo nijuze [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
wanaume jitokezeni, huyu Dada toka mwakajana anapost anatafuta mwanaume, mwakajana alikua 27 mwaka huu 28 kitu kinaonyesha ni mkweli, Ila amepandisha dau kidogo, mwaka Jana alisema 30+ mwaka huu anasema anataka 33+ inaonekana kuna viserengeti vimezingua.
 
So mimi nikifikia kwenye Category ya kusaka mke nitataja wazi kwamba sifa kuu awe Mwanamke, elimu yake iwe ya utambuzi tu ili asinikalie kichwani,atoke kwenye kabila linaloogopa umasikini,tabia abaki na zake kwa kuwa nami nina zangu! Mwisho kabisa akiri wazi kwamba Bashite ni hafai kwa matumizi ya nyumbani!
 
Back
Top Bottom