Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,577
Kwa bed kujitumaaa[emoji1]Me nadhani anamaanisha chakula cha usiku.... Hahaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa bed kujitumaaa[emoji1]Me nadhani anamaanisha chakula cha usiku.... Hahaha
EwaaaaaaKwa bed kujitumaaa[emoji1]
Haha haha hahaaaaEwaaaaaa
Wewe umenichoka mamy?Daby njoo uoe hukuu[emoji85]
Niko hapa mai oko mbonyi xafo ulkuso kumonyi...Am 28
looking for a man ready to start a family with me sio utani..niko serious
Nimeajiriwa kampuni binafsi,
sina mtoto,
mimi ni mkristo mlutheri
kabila langu mchaga,
mwanaume atakayekuja
awe 33+
mkristo
anajishughulisha
awe so serious na hili swala sio utani
if u think ukoserious just nipm.
Image,tafadhali.Am 28
looking for a man ready to start a family with me sio utani..niko serious
Nimeajiriwa kampuni binafsi,
sina mtoto,
mimi ni mkristo mlutheri
kabila langu mchaga,
mwanaume atakayekuja
awe 33+
mkristo
anajishughulisha
awe so serious na hili swala sio utani
if u think ukoserious just nipm.
Toa specifications[emoji4]Na mm jaman nahitaji MTU Wa kunioa
Hiii ni kozi ya miezi mitatu, unajaza form ya maombi ya kujigunza ku pm, ña ina ada yake, kama upo tayari kwa mafunzo nijuze [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Jamani mtu una mp kwa njia gani? Mimi sijui
Ukabila ulikatazwa na Mwalimu Nyerere ila babake Basite ameurudisha kwa mlango wa uani so tuende nao hivyo hivyo!usiweke kabila bwana
sawa tuUkabila ulikatazwa na Mwalimu Nyerere ila babake Basite ameurudisha kwa mlango wa uani so tuende nao hivyo hivyo!
Weka pichaNa mm jaman natafuta MTU Wa kunioa
Ndo nnHAHAHahahaaa duuu keep waitn c* angu
Nyote mbarikiwe
usiweke kabila bwana
So mimi nikifikia kwenye Category ya kusaka mke nitataja wazi kwamba sifa kuu awe Mwanamke, elimu yake iwe ya utambuzi tu ili asinikalie kichwani,atoke kwenye kabila linaloogopa umasikini,tabia abaki na zake kwa kuwa nami nina zangu! Mwisho kabisa akiri wazi kwamba Bashite ni hafai kwa matumizi ya nyumbani!sawa tu