Mwanaume aliye tayari kuwa mume baadae

Mwanaume aliye tayari kuwa mume baadae

Habari za humu

Serious jamani nahitaji mtu ambaye anauhitaji wa kuwa na mke baada ya kuridhiana
awe anajielewa,asiwe mnywaji pombe wala mvuta sigara,miaka kuanzia 28-34
Awe muislam

Mimi ni binti wa kawaid saaaanaa,mawasiliano zaid Private Messages.Tafadhali lkn sio kwa ajili ya majaribio

Karibuni
Siyo kwa majaribio,kwa maana ipi?
Hit n run?
 
MUNGU akujalie umpate wa haja ya moyo wako. Dah mimi nimefaili vibaya hapo kwenye vigezo kama maksi nipo chini ya "F" mpya ya Ndalichako.
 
inaonesha hukubariki mtaani au kanisani kwenu
Yani kwa umri wako hakuna aliye onesha nia hadi imekubidi utafute wewe mwenyewe
 
Najua saiz umeshaweka na mhudumu wavkupokea pm huko maana watamiminika kama maji.


Nadhani na Mimi ningekuwa mmoja wao ila dini mama sijui hata kianzio.
 
kila la heri

Sent from my Apple iPhone 5s using JamiiForums Auto-reply Mobile app
 
Ukisikia hamna kujaribu ujue breki pu.mbu...ukioa unajilia kwa raha zako
 
Back
Top Bottom