Mwanaume aliye tayari kuwa mume baadae

Siyo kwa majaribio,kwa maana ipi?
Hit n run?
 
MUNGU akujalie umpate wa haja ya moyo wako. Dah mimi nimefaili vibaya hapo kwenye vigezo kama maksi nipo chini ya "F" mpya ya Ndalichako.
 
inaonesha hukubariki mtaani au kanisani kwenu
Yani kwa umri wako hakuna aliye onesha nia hadi imekubidi utafute wewe mwenyewe
 
Najua saiz umeshaweka na mhudumu wavkupokea pm huko maana watamiminika kama maji.


Nadhani na Mimi ningekuwa mmoja wao ila dini mama sijui hata kianzio.
 
kila la heri

Sent from my Apple iPhone 5s using JamiiForums Auto-reply Mobile app
 
Ukisikia hamna kujaribu ujue breki pu.mbu...ukioa unajilia kwa raha zako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…