Daisy Llilies
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 1,017
- 2,158
- Thread starter
- #21
Tangu aondoke ninachojoa nguo nikioga tu, sijawahi kumchojolea nguo mwanaume.Inaezekana kweli kua bado unamapenzi na mtu aliekuacha miaka 2 iliyopita?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tangu aondoke ninachojoa nguo nikioga tu, sijawahi kumchojolea nguo mwanaume.Inaezekana kweli kua bado unamapenzi na mtu aliekuacha miaka 2 iliyopita?!
Hapana mkuu huko alikokwenda hajakikuta alichokitegemea so ameona ww n bora zaid kuliko huko. M nakushauri we mpokee lakn uwe nae makin sana anaweza akaja na kivuli na kutaka kukuoa kumbe anataka akufilisi duka lako.Ninampenda sana lakini ninaogopa asije akaniacha tena
Mhh hongera kwa uvumilivuTangu aondoke ninachojoa nguo nikioga tu, sijawahi kumchojolea nguo mwanaume.
Thnx typing errorMpakime = mkapime
Kuwa makini asirud na maradhi tu.....