Mimi mstaarabu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 262
- 577
Unanuka mdomoAnakuwa ana mapengo.
Anakuwa ana mapengo.
Tunaweza kukuonyesha all colors mpaka kukutambulisha...ila tusiwe na nia ya kukuoa bali kuonja kitumbua tuu
Wanaume tuna mahesab makal sana especialy kama mdada una majivuno lazma ukomeshwe
Upumbavu kwako kwa wengne ni werevu dont get it twistedLakini kufanya hivyo ni upumbavu tuu wala sio ujanja,
Ni afadhali ungekua unapata materials things, Mfano Mercury labda [emoji23]
Kweli kabisa, nimetoka kutafuna vitunguu saumu...Unanuka mdomo
We ushaolewa?Waoaji mnaitwa huku
Nilikuwa kikaoni nimetumwa kuleta jibu kuwa huwa kama ni wa mtaani hatumuambii tunayetaka kumuoa kwa haraka ili kumsoma ktk mazingira yake halisi.Waoaji mnaitwa huku