Mwanaume asie na gari wala nyumba

Akiwa navyo, asipokuwana navyo unanufaika nini au unapungukiwa na nini?.

NB: Acha umbea jali mambo yako.
 
Hiyo ndo shida yawatu waliotafuniwa na wazazi wanajisahau sana kumbuka mtoa riziki ni Mungu kupata na kukosa yote ni majaliwa.
Maisha ni safari .........
Pia hakuna atakae ishi milele huku duniani na hakuna atakaye zikwa na mali zake tutaviacha vyote.
Acha ushamba na ulimbukeni dharau zitakuponza kn wenye nazo zaidi yako lakini hawamdharau mtu
 
anajiskia kama unavyojiskia wewe si mwenzakoo naye hana gari a
kama wewee
 
Nadhani hili ni dongo, anae aliyemkusudia! Ujumbe umefika, pumzika sasa.
 
Dah wanawake bana kwenye maisha wanawaza Gari tu na nyumba ...ndo maana wanaishia kutanuliwa malinda kwa kupenda vinavyowazidi[emoji23]
 
Kila shetani na buyu lake, kwako we we gari na nyumba vina thamani ila kwangu laaa!
 
Kuna jamaa zangu wananyumba kalii na magari makali ila madeni yao nayo makalii na ndiyo hapo mke anapokimbia anamuachia mwenzie msala.. mi napanda mwendo kasi tu inatosha mkoani napanda bus luxury 35.000/=
Nyumba ninayo ila siyo hekalu yakunitosha mimi tu na mke wangu na mwanangu sitaki wageni wengi
 
Yeah mr Hute; umetiririka vizuri sana nime LIKE ila mleta maada hakuwa na nia mbaya ya kudhalilisha mtu ni kukumbushana tu kujipanga katika maisha.
 
mwanaume upo mjini miaka 40 elimu ya chuo kikuu . huna mke/au unae ila ,huna gari huna nyumba unajisikiaje?
Una mawazo ya kimaskin sana dharau na nyodo wanawak wote wangekuwa kama wew naiman hata baba yako asingeowa.
 
Uanaume siyo kumiliki gari au nyumba!

Kikubwa kutimiza wajibu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…