Inamonga
JF-Expert Member
- Jun 25, 2016
- 779
- 474
Dar es salaam kuna mashamba wapi?ana nyumba na mashamba mengi tu japo hakufika chuo kikuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dar es salaam kuna mashamba wapi?ana nyumba na mashamba mengi tu japo hakufika chuo kikuu
Baba yako ana gari gani?mwanaume upo mjini miaka 40 elimu ya chuo kikuu . huna mke/au unae ila ,huna gari huna nyumba unajisikiaje?
Pambana dada, usipende mteremko! Unatafuta pa kuterezea eeh.mwanaume upo mjini miaka 40 elimu ya chuo kikuu . huna mke/au unae ila ,huna gari huna nyumba unajisikiaje?
Natafuta tiba ya harufu mbaya ukenimwanaume upo mjini miaka 40 elimu ya chuo kikuu . huna mke/au unae ila ,huna gari huna nyumba unajisikiaje?
Ni mpango wa mungu ndugumwanaume upo mjini miaka 40 elimu ya chuo kikuu . huna mke/au unae ila ,huna gari huna nyumba unajisikiaje?
Yeah mr Hute; umetiririka vizuri sana nime LIKE ila mleta maada hakuwa na nia mbaya ya kudhalilisha mtu ni kukumbushana tu kujipanga katika maisha.hahaha, namshukuru Mungu hivyo vyote ninavyo, lakini sio kwa uwezo wangu, ni kwa neema ya Mungu tu. ndugu yangu, usimdharau mtu hapa duniani, kuna watu wana majumba hata kumi na magari ya kutosha na ya garama, lakini hawawezi kuyatumia...kuna jamaa namfahamu ni tajiri sana, alikuwa na kuburi kama wewe, alipata ajali ni mtu wa kulala tu. nyumba kauza karibia anamaliza zote ili akatibiwe mara india, mara ulaya na watoto amezaa wengi wanasubiria afe lini waanze kugombania. unaweza kuwa na gari usiweze hata kushika usukani, unaweza kuwa na nyumba usiweze hata kulala ndani yake kwani utakuwa unalala hospitalini muda wote tena peke yako ICU...wakati asiye na kitu analala na mke wake home kwenye nyumba ya kupanga ana furaha zote pamoja na kwamba anapanda daladala. hivyo don't define life kwenye vitu kwasababu kuna watu wana vitu lakini hawana furaha ya maisha wengine hadi wanajiua....wakati mamangu kule kijijini ukimwambia kuna tajiri mmoja mkubwa sana amejiua anakushangaaa kwamba alikuwa na shida gani kwani kama nyumba anzo, kama hotel anazo, kama magari anayo ana kila kitu lakini ndio hivyo hana furaha wala amani. definition ya life sio ya kukurupuka. tema mate chini. na si ajabu ndio mara yako ya kwanza leo kununua gari, wakati wenzio hayo magari tumeendesha miaka mingi sana na hatudharau wasio nacho.
Una mawazo ya kimaskin sana dharau na nyodo wanawak wote wangekuwa kama wew naiman hata baba yako asingeowa.mwanaume upo mjini miaka 40 elimu ya chuo kikuu . huna mke/au unae ila ,huna gari huna nyumba unajisikiaje?
I like your comment Nyani Ngabu Many people live:Najiskia kawaida tu maana maisha ni yangu na si ya wengine.