Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
asiyejua kupika ana raha yake bwana,hata visipoiva anakua hajui,na kwenye chai ukiweka chumvi anajua leo mke wangu amezidisha maujuzi,anachekelea tu.no challenges.
Maana wanaojua kupika wanakazi kweli,kitu kidogo tu anaongea.
Aaaah hao madada wakatafute wakwao wa kupika nao hahaha lol! Hongera km ni kwelimimi napika kuanzia uji hadi pilau..ugali ndio usiseme ukinipeleka kwenye kachumabri mwe ...utanikoma nirudise kwenye mchicha hehe kitu rost nyama ..lol ! Huyo mwanamke atapata raha sana sema mambo yenyewe yaishie ndani manake dada zangu wakijua wataua mtu.
mimi napika kuanzia uji hadi pilau..ugali ndio usiseme ukinipeleka kwenye kachumabri mwe ...utanikoma nirudise kwenye mchicha hehe kitu rost nyama ..lol ! Huyo mwanamke atapata raha sana sema mambo yenyewe yaishie ndani manake dada zangu wakijua wataua mtu.