Mwanaume atakaye mnunulia mama yangu ndege ndio nitampa atoe bikira yangu "msanii"

Mwanaume atakaye mnunulia mama yangu ndege ndio nitampa atoe bikira yangu "msanii"

Kwani hiyo papuchi yake ni dhahabu.....
Nobody dies a virgin coz at the end , the world will f.....ck all.
 
Ana bikira alafu kapiga picha maziwa nje?? Labda bikra ya kutengezwa
 
Muimbaji wa kike wa Nigeria, Adokiye Kyrian amesema bado ni bikira na ataendelea kuwa hivyo hadi pale atakapopata mwanaume sahihi.

Kwenye mahojiano na jarida la Vanguard, muimbaji huyo mrembo alisema: Hujawahi kuona msichana mrembo ambaye ni bikira? Mtu yeyote atakayemnunulia mama yangu ndege binafsi nimemuahidi (mama yangu) ataushika moyo wangu.”

Aliongeza kuwa haamini katika mapenzi na ana uhusiano na career yake tu. Amesema usanifu wa majengo (Architecture) ndiye mumewe muziki ndio boyfriend wake. Adokiye anaamini kuwa mapenzi ni hatari na kwamba hakuna mapenzi ya kweli. Akiwa na miaka 23 muimbaji huyo sasa ni balozi wa amani wa Umoja wa Mataifa.

Mbona ni used tayari angalia nyonyo lilivyotela. Watu washatembelea kucha pale
 
Kwanza huyo mama ataihudumiaje hyo ndege? Au atatoa na bikra nyingine ya matunzo?

Miafrica ndo tulivyo.

Gharama za kuhudumia ndege kuanzia kulipa pilot, mafuta, services, bima,kodi etc ni kubwa zaidi sasa hapo sijui atatoa bikra nyingine
 
kama nimpe pakti ya embassy na yy anipe papuchi hataki asubiri funza waile kaburini
 
hana jipya huyo kapaka SHABU!" ...........
 
kwa shape hiyo hata kama ile munyoka ya moto bado hajawahi kumesa, wala hawesi kuwa na ile fulavor original ya bikra inayonasaga kwa shingo ya snake.
 
Gharama za kuhudumia ndege kuanzia kulipa pilot, mafuta, services, bima,kodi etc ni kubwa zaidi sasa hapo sijui atatoa bikra nyingine

Na ukumbuke service no continous, hyo gharama itakuwa ya nani? Watafumua marinda hadi ya puani
 
Haina thamani hiyo. Aulize wenzake!
 
Gharama za kuhudumia ndege kuanzia kulipa pilot, mafuta, services, bima,kodi etc ni kubwa zaidi sasa hapo sijui atatoa bikra nyingine

Hizo ni mbwembwe tu mwisho wa siku mtasikia anqmimba ya muuza mkaa.
 
Ivi kuku na njiwa nao ni ndege enheeeee??nijipange kabisa.
 
Back
Top Bottom