Nyoka_mzee
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 3,695
- 5,531
hahaha mashine hiyo ya kusaga au kukoboaMwanaume mashine
Pesa ya kutosheleza kulinda uwanaume wake tu,Asije akavalishwa sketi bureFirst to reply,pesa shling ngp? Unayozungumzia ww
Pesa haijawah kutosha bro,ukiwa na ml 100 kuna mtu hela hyo anamuhonga mwanamke nyumba yenye thaman zaid ya hela yako,Pesa ya kutosheleza kulinda uwanaume wake tu,Asije akavalishwa sketi bure
Ni kweli babu wala si uwongo,Ila ni kujifunza kuridhika na ulichonacho kiongozi ,Pesa haijawah kutosha bro,ukiwa na ml 100 kuna mtu hela hyo anamuhonga mwanamke nyumba yenye thaman zaid ya hela yako,
DuuuhPesa haijawah kutosha bro,ukiwa na ml 100 kuna mtu hela hyo anamuhonga mwanamke nyumba yenye thaman zaid ya hela yako,
kwanza ukiwa na pesa huwa hata kimabia akionekaniiii,na utakuta mwanamke anakililia hichohicho kimabia kuwa kinamuumiza [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Hata ukiwa na kibamia kama una pesa za kutosha utapendwa tu na wanawake mzee baba
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli babu wala si uwongo,Ila ni kujifunza kuridhika na ulichonacho kiongozi ,
hii picha imenifanya niwaze sana lakin sijapata jibu la kueleweka...ina ujumbe fulani ambao nashindwa kuung'amua