Mwanaume Hana Moods

Mwanaume Hana Moods

....huwa najiuliza mara nyingi,...kwanini wanawake wetu wa kibantu ikifikia hali hii nao huwa wanyonge
badala ya kumface 'mtuhumiwa' na kumuuliza kulikoni?....

hapana, ngoja ngoja huumiza matumbo...no wonder wengi wenu 'mnabakwa' kwenye ndoa...
Badilikeni kabla usiku wa manane hamjakurupushwa na "...geukia huku!"
 
...lohhh,...haahha...mwj1 hiyo gubu mbona umeisisitiza hivyo?

jamaa amejikaza kisabuni, anakufa na tai yake shingoni...
hizo wiki tatu ina maana unampikia anakula, mnalala kitanda kimoja,
labda mnadrive wote kwenda na kurudi kazini...mnh?

hapana bana,...jishushe tu yaishe.
..

inaonekana Dena ameshajishusha mpaka ana2ma na watoto lakini daddy kagoma...afanyaje tena?
 
jamani mahusiano ni magumu nayo. Inataka moyo sana kuyaendesha kwa mafanikio. tatizo kubwa linakuwa moja...kila siku ina mabo mapya!!

Hapa sitii wala siongezi neno maana naweza kuharibu
 
Dena popote pale ulipo.........

Waweza turuhusu sasa tuhamishie chat room kwenye hii sredi ya mood?
 
Nyamayao.

Natamani mama watoto wangu atembelee hili JF asome hizi nondo za uhakika.Nikichelewa nyumbani saa 4 - 5 nanuniwa na kutakiwa kutoa maelezo ya kina wakati ukweli uko wazi nilikuwa bar na tayari nimeshalewa.



kuna wakati nakufukuriaga mpaka nasema may b haikuwa akili yako(upendo/mapenzi ulikufunika macho/mackio)...kuna wanaume wanapata wanawake jamani, MJ1 huyu wako atakukumbuka sana sana 2, khaaa, aisee! huko aliko nahic anatamani cku zirudi nyuma sema ndio hivyo tena, huko mbeleni natamani akutane na kina Nyamayao, hivi wewe ungeweza kurudiwa asubuhi mfululizo bila kuuliza na anakuta umemuandalia kila kifaacho kwa ofc na maisha yanasonga na roho hainish2ki? (nilifanya 2 kutoa taarifa kwao kwamba huyu binadamu cku hizi alali home so kikitokea cha kutokea tutashirikiana kulipokea) hakuna cha kuuliza upo wapi?/utarudi?/umetoka wapi?....akajiuliza huyu m2 hana habari na mie tena nn? wacha bwana wa2 2mepitia aisee, nashukurugi kwa hii roho niliyonayo.....
 
Kutakuwa na jambo linamtatiza...jaribu kutafuta chanzo chake...
 
Wapendwa MMU habari zenu nimewamiss mjue? Mimi nashida na shida iko kwa my huby ana mood mbaya plz help haongelesheki kamwe! (msinitukane tafadhali nawaomba)
andaa pakupumulia mapema usije ukajizimikia akikumwaga
 
Hahahaha........

Mkuu kwenye ile sredi ya wachakachuaji sijui kwanini walikusahau.....khaa!

ha haaa Uporoto alinitaja halafu akasahau kukutaja Chairman...wao...
akaja Sweatlady secretary wako kuandika list upya lol
 
Back
Top Bottom