Inategemea hitaji na hitaji kuna mahitaji mengine wala mungu hayajui labda shetani.ahaa wapi wanawake nshasema mungu pekee anawajua mahitaj yenu
unataka mlinzi..?Nina pesa zangu ila nae awe na zake kwa matumizi yake.
Mahanithi mnaitwa hukuu hahahahaha
Angeitaka huyo mtoa thread ningemwambia ila nyie wala msitegemee.Okay, nilijua na sisi hutatuambia, basi ngoja tuisubiri hiyo maana.
Angeitaka huyo mtoa thread ningemwambia ila nyie wala msitegemee.
Huenda ikawa hajajua alichoandika na hata kama kaandika kuna vingine bado hajavijua maana yake anajisemea tu.
Mzee nasubir mrejesho kwa sasa nakaa nje ya hii madaNimeona analalamika kwamba watu wanaoenda PM waache mzaha. Kuna mzee simwoni hapa jukwaani leo, ukute kajikita kule, maana yule babu kwa mzaha.
Atajuaaa tuHivi atatumia kipimo gani?
Bora usijue mana unaweza kukuta watu wenye heshima zao nao wanapanga foleni.ha ha ha ha nataman ningeiona pm yake itakavyoukuwa baada ya watu kwenda
tehe tehe tehe kumbe tuko wengiSame here....
Mzee nasubir mrejesho kwa sasa nakaa nje ya hii mada
Umeipata wapi hii "Kila penye uzito na wepesi upo"Nimefanyaje tena!
Umeipata wapi hii "Kila penye uzito na wepesi upo"
Umeitumia penyewe mbona nashangaa ulipoitoleaKwani nimeitumia mahali pasipo?
Umeitumia penyewe mbona nashangaa ulipoitolea
Ahaaa! Usijali nilijua hivyo ila umejizungusha weeNimeitua kwenye "Signature" yako.
Ahaaa! Usijali nilijua hivyo ila umejizungusha wee