Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mweee!Mimi WL na si mtu mwingine.
Nahitaji Mwanaume Hanithi.
Asiwe shoga wala asiwe amewahi kujihusisha na ushoga.
Awe anayejiamini na anaweza kutatua changamoto za kimaisha.
Awe na malengo ya kuoa.
Asiwe mtegemezi/kupe na awe na kipato halali.
Muonekano pia una nafasi yake
Mimi ni mwanamke kamili sina tatizo lolote kuhusiana na uanamke wangu.
Umri wangu 30+
Elimu yangu nimesogeasogea
Namaanisha sipo kufanya dhihaka.
Kama upo humu una sifa hizo na unatafuta njoo PM au unamjua wa sifa hizo mlete
HahahaaaUnataka nikubali haraka haraka?
Asante kwa maelezo!!! Basi na mie namtaka huyo!!!Hanithi ni mwanaume ambaye adindishi ama ambaye anadindisha ila mbegu zake hazina uwezoo wa ............?
Utapata tu ndugu! Ila niyako iwe ya kweli sio kumuumiza zaidi mkaka wa watu. Neno ulilotumia tu ni kali sana kumuogopesha mlengwa kukufuata.Sijui kwanini mtu akisikia tu jina lake limetajwa lazima atashtuka.
Wapo watakaojikausha wakapita kimya ila wapo pia ambao wataitika japo walengwa hawakua wao. Najua una sifa hiyo ndio maana umekuja kuitika HAPA ila kwa kua hukidhi vigezo vingine ungepita tu kimya.
Wenye vigezo vyote wanajua kua wanatakiwa kuitikia kuleee PM.
Bado sijapata, mnaokuja PM acheni mzaha.
Ahaaa! Usijali nilijua hivyo ila umejizungusha wee
Ohoooo.........[emoji45] [emoji45] [emoji45] [emoji45]tehe tehe tehe kumbe tuko wengi
Umechoka drama au umechoka kuchokonolewa??! Sasa hanithi ndo hatakuwa na drama?? We sema tu umechoka mchiMwanamke kabisaa. Nimechoka drama.
Hivi hanidhi ndio mwanaume gani ?
Acha unyanyapaaji! Huwezi ukamfananisha mwanaume mwenzako kama mwanamke! Huo ni ulemavu tu kama ulemavu mwingine.kueleweka hapo ni ngumu sana, hebu fafanua kidgo, utata upo kwenye tendo la heshima ya ndoa utafanya na nani? au utakuwa unavunja amri ya sita,? na jee hujui kuwa ndoa ya jinsia moja ni kinyume cha sheria? manake mwanaume hanithi ni kama mwanamke tu! na jee, jee?
good woman to be with!Kuliko kuwa na hanithi ni bora kuishi single maisha yangu yote.
Labda hilo tatizo limpate keshanioa ila sio natafuta hanithi kabisa anioe