Mwanaume Hanithi anayehitaji mke

Mwanaume Hanithi anayehitaji mke

Ni bora tumuuliza atupe elimu, labda ana sababu musimrukie tu, hebu bibi tupe kidogo kuna nn nyuma ya pazia? Au umeamua kuchangamsha JF tu?
 
Mimi WL na si mtu mwingine.
Nahitaji Mwanaume Hanithi.
Asiwe shoga wala asiwe amewahi kujihusisha na ushoga.
Awe anayejiamini na anaweza kutatua changamoto za kimaisha.
Awe na malengo ya kuoa.
Asiwe mtegemezi/kupe na awe na kipato halali.
Muonekano pia una nafasi yake

Mimi ni mwanamke kamili sina tatizo lolote kuhusiana na uanamke wangu.
Umri wangu 30+
Elimu yangu nimesogeasogea
Namaanisha sipo kufanya dhihaka.

Kama upo humu una sifa hizo na unatafuta njoo PM au unamjua wa sifa hizo mlete
mweee!

watu wa dunia hii....hata shetani nina hakika anatushangaaga saa zingine kwa kweli!
 
Tuseme, aliupatia ukubwani huo uhanithi?? Sometimes huwa wanashtukaga mara moja tu kwa mwaka, kama vile anasikia wakiimba HBD to yuuu akastuka. Naskia siku hiyo ka upo karibu waweza beba. Je ka huyo, unamtaka??
 
Na ukipata ambaye si full hanithi lakini ni wa mara moja kwa mwezi? Au kama ana kibamia so small kwamba hakifikii hata mlango wa papuchi?
 
Hanithi ni mwanaume ambaye adindishi ama ambaye anadindisha ila mbegu zake hazina uwezoo wa ............?
Asante kwa maelezo!!! Basi na mie namtaka huyo!!!
Thitaki kuduu tena [emoji85][emoji85][emoji85]
 
Sijui kwanini mtu akisikia tu jina lake limetajwa lazima atashtuka.
Wapo watakaojikausha wakapita kimya ila wapo pia ambao wataitika japo walengwa hawakua wao. Najua una sifa hiyo ndio maana umekuja kuitika HAPA ila kwa kua hukidhi vigezo vingine ungepita tu kimya.

Wenye vigezo vyote wanajua kua wanatakiwa kuitikia kuleee PM.



Bado sijapata, mnaokuja PM acheni mzaha.
Utapata tu ndugu! Ila niyako iwe ya kweli sio kumuumiza zaidi mkaka wa watu. Neno ulilotumia tu ni kali sana kumuogopesha mlengwa kukufuata.
 
kueleweka hapo ni ngumu sana, hebu fafanua kidgo, utata upo kwenye tendo la heshima ya ndoa utafanya na nani? au utakuwa unavunja amri ya sita,? na jee hujui kuwa ndoa ya jinsia moja ni kinyume cha sheria? manake mwanaume hanithi ni kama mwanamke tu! na jee, jee?
 
Hivi hanidhi ndio mwanaume gani ?
 
kueleweka hapo ni ngumu sana, hebu fafanua kidgo, utata upo kwenye tendo la heshima ya ndoa utafanya na nani? au utakuwa unavunja amri ya sita,? na jee hujui kuwa ndoa ya jinsia moja ni kinyume cha sheria? manake mwanaume hanithi ni kama mwanamke tu! na jee, jee?
Acha unyanyapaaji! Huwezi ukamfananisha mwanaume mwenzako kama mwanamke! Huo ni ulemavu tu kama ulemavu mwingine.
 
Back
Top Bottom