Mwanaume Hanuni!


Hii si ndo inaitwa kusutwa? :nono::nono::nono:
 


Hivi Rose, uyoga wa type gani utakupendeza wewe kati ya ule wa sumbawanga, au ule wa manyovu (kigoma)?niambie mapema ili nifanye logistics za kukuletea.
 
Hivi Rose, uyoga wa type gani utakupendeza wewe kati ya ule wa sumbawanga, au ule wa manyovu (kigoma)?niambie mapema ili nifanye logistics za kukuletea.

wowote utakaopata
uyoga ni uyoga.
 
Hii si ndo inaitwa kusutwa? :nono::nono::nono:
apana sweeeeeeeetie apo sjakusuta
apo nilikuwa tu nakukumbusha majukumu yakokwa MAHABA MAZITO.kusutwa aujasutwa bado na astarajii...nkusute wewe tena lahazizi afu vidig dig ntavifanyaje sasa?
siwez nkakusuta LABDA MMPK PALE UTAKAPOSHNDWA KUNITIMIZIA MATAKWA YANGU KM NILIVYOHAINISHA APO JUU!!!!!
usisahau na za rangi ya GOLD ennh??????
 
wowote utakaopata
uyoga ni uyoga.

usikonde, wa kigoma utakufaa!du siku hizi napewa masharti magumu kama naenda kukopa IMF!!!!!!mi najua tu nisipoleta huo uyoga ndo nakuwa nishanyimwa hivooo,,,,,,,!!!!
 
Hapo kwenye bold..........kama nakuona vile ukiwa umenuna..............tehtehtehteh!

hahah hahahaaaaaaa kaz kweli kweli
mwombe roy anipge picha nikiwa nimemnunia akuletee uone...namacho yote nafumba nakwambia.....!!!!!!!!!!
 
usikonde, wa kigoma utakufaa!du siku hizi napewa masharti magumu kama naenda kukopa IMF!!!!!!mi najua tu nisipoleta huo uyoga ndo nakuwa nishanyimwa hivooo,,,,,,,!!!!

tena utanyimwa haswa...ata kukonyeza stakukonyeza teeeeeeeeeeena!!!!!!
usisahau na plpil mbuzi..!!!!!!!!!!!
 
tena utanyimwa haswa...ata kukonyeza stakukonyeza teeeeeeeeeeena!!!!!!
usisahau na plpil mbuzi..!!!!!!!!!!!

rr ajaniletea gaun la skukuu jana basi nimempa kinuno cha masaa 120!!!!!!!
sasa wewe usipoleta uyoga ntakupa kinuno mara mbl ya apo............
 
Ivi kumchunia ndo kununa au?

Ka kauuzi kwanini usimchunie/mpotezea?
 

jamani mimi sikumbuki lini nimenuniwa.................. hata kama kukiwa na kutokuelewana kidogo, lazima yeye ndo ataanza kunisemesha hata muda haujapita. sometimes bado nina mahasira yangu, mtu anaanza kujisemesha
 

Yaani una tabia kama zangu vile, kununa huwa nachukulia kama tatizo la kiakili flani hasa kama ni dume limenuna..
Wakati tunasoma kuna jamaa alikuwa akininunia kila nikimzidi Maksi, bahati mbaya nilikuwa sipangi mimi ila ndo hivyo inatokea tu.. aisee nilikuwa namhurumia kweli:smile-big::smile-big:
Shwari tu Mrembo, Idd ndo hivyo tena naona inayoyoma, una mchongo wowote tuufanye?
Nakusikilizia.
 
Bro hata awe amekosa nini kununa sio staili ya kidume cha mbegu

Umesomeka Mama Big ; viume vya mbegu kuchukia No...; hata kama mgombea mwenza kakutwa anamegwa kdume cha mbegu kinamezea , safi sana ,,
 
Aaa kweli, sasa Rose mbona mtakuwa mnatuone hapa ....... yaani mnaju hata mkifanya nini
hatutanuna ................ mie huwa nkichukia najiendea kupata valuer mkirudi usingizi .....
 
WoS sasa si inabidi anune mpaka ujumbe ufike, si wajua akidada wengine pia ni korofi, haulizwi mtu kitu, wote kimya tu ....
 
Wanaume bwana huwa hawanuni zaidi ya siku tatu ..hawapendi malumbani lakini sisi kina mama unaweza kununa mpaka sura inaanza kupoteza mvuto
sijui tukoje sie
Nimekusoma, ukizidisha siku tanu noma! hapo kwenye nyekundu ni kwanini inakuwa hivyo? FL1
 
+ kulala na jinsi + Viatu + tishet + kuonyoa ndevu = mnuno wa kiume
Hahah ..... sasa MB hapa usingizi upo kweli ............ mi nnlidhani ukiondoka kwenye mazingira
ya tukio inatosha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…