Mwanaume hii inakushushia hadhi....

Mwanaume hii inakushushia hadhi....

Tafuteni hela, ata ukivaa viatu vya njano na mkanda wa blue, hela hela hela hela hela
Sawa lkn utanashati usmart unaenda na Hela.....pata Hela Vaa vizuri classic mpaka adui watetemeke uchomeke suruali kwenye Buti Ili zionekane umekuwa mtoto wa secondary school ? Kuachana na ubishoo mavi nayo ni maturity.......
 
Hello,. Mwanaume umevaa mkanda nje umechomekea shirt nzuri suruali nzuri mkanda mweusi kiatu brown.....big no,mkanda mweusi kiatu cheusi....mkanda brown kiatu brown......

-Ukajivalia suruali kinjiwa huvai socks chini sawa ila tizama sana personality Yako hiyo style siyo ya Kila mmoja....

- Unavaa suruali na kuonyesha boxer ? Huo ni ushamba uliotukuka ni aibu aibu aibu...Sasa unaonyesha Ili iweje tujue umehifadhi mbupu kwenye boxer?

Mbaya zaidi unakuta boxer yenyewe chafu.....nani havai boxer unayemwonyesha? ...

-Let's say una Buti zako Kali tu muundo wa American Buti pengine za brand ya Clarks. Nk.nk ila muundo wa Buti....ati Ili zionekane unachomekea suruali ndani ya Buti watu waone kiatu kilipoanzia mpaka kilipoishia...big no no no ....huo ni ushamba

-Unahonga pisi Kali na mama mzazi Hana sukari kijijini,,huo nao ni ushamba japo nimechomekea....

-Fesheni ya kuvaaa vibukta wengine haziwapendezi jiangalie



- Mwanaume ni kuzingatia maokoto tu na hadhi unabaki nayo.
 
Mtu anabidi aishi anavyotaka ikiwezekana atembee uchi Safi tu ukiwa serious na MAISHA ya watu utachanganikiwa kichwa kikubwa hakikisha haumpi mtu hela
Zaa mtoto wako atembee uchi basi kengele zinaruka ruka Kila mtu amwone au Binti Yako wa kike kipochi manyoya nje nje Kila mtu amwone hata na wewe tembea tu uchi Mkuu maana halisi ya uhuru halafu unipe feedback.....
 
Hello,. Mwanaume umevaa mkanda nje umechomekea shirt nzuri suruali nzuri mkanda mweusi kiatu brown.....big no,mkanda mweusi kiatu cheusi....mkanda brown kiatu brown......

-Ukajivalia suruali kinjiwa huvai socks chini sawa ila tizama sana personality Yako hiyo style siyo ya Kila mmoja....

- Unavaa suruali na kuonyesha boxer ? Huo ni ushamba uliotukuka ni aibu aibu aibu...Sasa unaonyesha Ili iweje tujue umehifadhi mbupu kwenye boxer?

Mbaya zaidi unakuta boxer yenyewe chafu.....nani havai boxer unayemwonyesha? ...

-Let's say una Buti zako Kali tu muundo wa American Buti pengine za brand ya Clarks. Nk.nk ila muundo wa Buti....ati Ili zionekane unachomekea suruali ndani ya Buti watu waone kiatu kilipoanzia mpaka kilipoishia...big no no no ....huo ni ushamba

-Unahonga pisi Kali na mama mzazi Hana sukari kijijini,,huo nao ni ushamba japo nimechomekea....

-Fesheni ya kuvaaa vibukta wengine haziwapendezi jiangalie
... au unashinda kwenye key board unaandika wana-ume wenzako wanavaaje na hela ya kula huna, nao ni ushamba plus plus. Big no no.
 
Shughulika na mmeo binti, dunia hii kila mtu na itikadi yake,

Kuna wanawake wanapenda wanaume wahuni wahuni, ukiwa smart huwapati
 
... au unashinda kwenye key board unaandika wana-ume wenzako wanavaaje na hela ya kula huna, nao ni ushamba plus plus. Big no no.
Wewe imekuwaje ukacoment kama ulikuwa busy sana usingecoment....huu muda uliotumia kukomenti ungeutumia kutafuta maokoto we mwenyewe mshamba pia,,basi hatuchekan Mkuu wote hatuna pesa ya Kula...+ Unachomekea suruali kwenye Buti wewe ni mtt wa secondary mbona imekuuma sana mkuu....ukisikia kelele ujue limempata....
 
Hii inawahusu wanaume wa "daslama" sisi wa mkoani huku tunavaa suluali kubwa ya kitambaa na wavu kiunoni hatuwazi kabisa, alafu nyie wavulana wa "daslama" mkija huku vijijini msiwe mnavaa vile vikaptula vyenu kama viboxer mnatembeza mapaja nje kama pisi kali, mjue mna tamanisha watu mtakuja kushikwa makalio kama sio kugegedwa kabisa shenziiiiiiiiiiii kabisa nyie
 
Shughulika na mmeo binti, dunia hii kila mtu na itikadi yake,

Kuna wanawake wanapenda wanaume wahuni wahuni, ukiwa smart huwapati
Hujaombwa ushauri mkuu wewe fata mambo Yako.....na mkeo......na nyumbani kwako...anzishia Uzi wako na wewe wa hao wanaume wahuni wahuni....
 
Hii inawahusu wanaume wa "daslama" sisi wa mkoani huku tunavaa suluali kubwa ya kitambaa na wavu kiunoni hatuwazi kabisa, alafu nyie wavulana wa "daslama" mkija huku vijijini msiwe mnavaa vile vikaptula vyenu kama viboxer mnatembeza mapaja nje kama pisi kali, mjue mna tamanisha watu mtakuja kushikwa makalio kama sio kugegedwa kabisa shenziiiiiiiiiiii kabisa nyie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom