Tatizo umebagua, ungesema tu kuwa mm nipo HIV+ ninaitaji mwenza wa kiume umri flan bas, lakin ulivyosema mwanaume HIV+ inamaana wanaume walio negative wenye nia na ww umeisha wawekea boundary
Kwan walio negative huwa hawaoi?Labda kam mnatak mumchezee tu
BADO NINATAFUTA MWANAUME JAMANI AWE HIV + ,,MIAKA 33 KUENDELEA AWE NA SHUGHURI YA KUMUINGIZIA KIPATO.ZAIDI AWE MAENEO YA IRINGA ,ASANTENI KARIBU PM
Mungu akubariki maana unajali afya za watu ,zaidi sana akutane na haja ya moyo wakoBADO NINATAFUTA MWANAUME JAMANI AWE HIV + ,,MIAKA 33 KUENDELEA AWE NA SHUGHURI YA KUMUINGIZIA KIPATO.ZAIDI AWE MAENEO YA IRINGA ,ASANTENI KARIBU PM
Mdada mwenye chura hawezi kujibu jibu kama hili..Kama kawa
Weka pichaKama kawa
na hayo meno yako makubwa namna hiyo nani akuoe, hamchelewi kuuma watu siku hizi
Hakuna swala la mchezo kwenye HIV+, hata awe beyonce atakimbiwa tuuπββοΈπββοΈπββοΈLabda kam mnatak mumchezee tu
Aiseee!071 unatoa?
swali zuri sanaKwanini positive? Negative hauwataki?