Mwanaume huna haja ya kuua au kumdhuru mkeo/mpenzi wako asiye mwaminifu. Soma hapa tafadhali

Mwanaume huna haja ya kuua au kumdhuru mkeo/mpenzi wako asiye mwaminifu. Soma hapa tafadhali

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Kumuua mpenzi au hata kumjeruhi ndo upumbavu wa mwanaume asiyechepuka. Kuna umuhimu wa kila mwanaume kuwa na mchepuko angalau mmoja ili kuepuesha stress zisizoeleweka.

Wanaume wenye akili na wanaojitambua lazima awe na mchepuko ili njia kuu inapoleta shida inakuwa rahisi kuachana nae kisha kumpandisha cheo mchepuko.

Karibu wazee wetu wote walikuwa wana michepuko yao ya siri kiasi kwamba hadi mtoto wa nje anamaliza darasa la saba ndo inakuja kujulikana.

Kwa wale walokole wanaoshindwa kujua wapate vipi mchepuko kuna njia rahisi sana. Tongoza the best friend wa mke/mpenzi wako.

Hao BFF ndo maadui wakuu wa uhusiano/ndoa ya mkeo hivyo ni rahisi sana kuwa mchepuko wako. Na siku wife akizingua unampa surprise ya kumpandisha cheo BFF wake.
 
Hata uwe na michepuko kama mfalme Suleimani, mke ni kitu kingine.
Yani mkeo hata akikuambia "Wewe ni mpumbavu" inauma kuliko mchepuko akikumwagia maji moto
 
Kumuua mpenzi au hata kumjeruhi ndo upumbavu wa mwanaume asiyechepuka. Kuna umuhimu wa kila mwanaume kuwa na mchepuko angalau mmoja ili kuepuesha stress zisizoeleweka.

Wanaume wenye akili na wanaojitambua lazima awe na mchepuko ili njia kuu inapoleta shida inakuwa rahisi kuachana nae kisha kumpandisha cheo mchepuko.

Karibu wazee wetu wote walikuwa wana michepuko yao ya siri kiasi kwamba hadi mtoto wa nje anamaliza darasa la saba ndo inakuja kujulikana.

Kwa wale walokole wanaoshindwa kujua wapate vipi mchepuko kuna njia rahisi sana. Tongoza the best friend wa mke/mpenzi wako.

Hao BFF ndo maadui wakuu wa uhusiano/ndoa ya mkeo hivyo ni rahisi sana kuwa mchepuko wako. Na siku wife akizingua unampa surprise ya kumpandisha cheo BFF wake.

Mwanaume anaeuwa nae Auliwe tuu
Hakuna Namna!
Unamuua mwenzako wewe ukikosa nani Anakuua?
Unawaachaje wazazi wake?
Kwanini Usimrudishe kwa wazazi wake?
Eti Kisa Unampenda sana Umemgjaramia sana!
Uuliwe tuu! Wewe Mwanaume unaeua!
 
Back
Top Bottom