miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
huyo mwana kajisemea mwenyewe. Ni mume wake ndie mwenye hivo vituko. Ila namshauri ajichunguze yeye inakuwaje jamaa hamaind papuchi yake? Anakula mara moja au mbili tu per month.. Loh!
OLESAIDIMU mambo vipi....?Shikamoo blaza kabanga
Wana-jamiiforums naombeni mtoe mawazo yenu.
Kuna mwanaume ameoa na ni baba ana watoto kadhaa,ila hafanyi tendo la ndoa na mkewe hata kwa mwezi inakuwa mara moja tu au mbili,ila kila siku anapokuwa amelala yupo macho lakini anasoma magazeti huwa anajishika uume na mapumbu yake mpaka anasinzia.
Mkewe amejaribu kumbadilisha hiyo tabia lakini hajaacha mpaka amekata tamaa na inamkera sana mkewe kiasi kwamba akimkuta anajishika hivyo mke anakasirika ananyamaza kimya anaondoka anaenda sebuleni ili asimuone.
Je hili ni tatizo gani jamani?
Tumshauri mwenzetu.
OLESAIDIMU mambo vipi....?
huyo mama anachangia, alipaswa akimuona jamaa anashika mzigo amtoe mkono aendelee Yeye....sasa mwanamke gani huyo hajui mahitaji ya mwenzie...?
Ndo manaana yake Excel jamaa anajishika mananihii na kinanihii mpaka anafika mlima kilimanjaro tena mbele ya my wife wake
na kilio cha kugugumia anatoa kabisa?
ila mkuu hili ni tatizo, na tatizo lenyewe linaanzia utotoni kabisa, kuna vimjamaa street hapa huwa vinatembea kutwa mikono iko kwenye mapumbu, majanga yake ndo haya sasa..
Halafu unakutana nae anakupa mkono akusalimie
Na hapo akitoka akiingia bafuni maana ashajichokoza mchana kutwa ni lazima alingurumishe
Anakuja kufika kipindi ngoma moja anakoroma hawezi tena kurudia kwa nini viagra isimhusu aise
mkuu unajua peer groups ni mbaya sana! ujinga ujinga kama huu vijana tunaupatia kwenye makundi tu....
Huyu wa hivi akishakua, tena kwa bahati tu akipata elimu akajua madhara yake ndo atakuja kubadilika...
kwa jinsi hii lazima wake zao wagongwe sana nje ya ndoa.. tena sana tu!