Mwanaume jua thamani ya mdomo wako

Mwanaume jua thamani ya mdomo wako

Dumuzii

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2019
Posts
3,593
Reaction score
8,595
Kabla mambo hayajawa mengi ni ufala kwa mwanaume kuanzisha mahusiano yoyote kwa gia ya pesa.

Kifupi ukianzisha hayo mahusiano jua umesaini mkataba wa kutumika. Na utatumika kama kondom vile. Yaani ponea yako labda upasuke.

Hata vitabu vitakatifu vinakuambia hapo mwanzo kulikua na neno. Ndio Yakaja mambo mengine .

Hutaki kuelewa sawa jentromeni wetu wa namtumbo kila la heri.
 
Kabla mambo hayajawa mengi ni ufala kwa mwanaume kuanzisha mahusiano yoyote kwa gia ya pesa.

Kifupi ukianzisha hayo mahusiano jua umesaini mkataba wa kutumika. Na utatumika kama kondom vile. Yaani ponea yako labda upasuke.

Hata vitabu vitakatifu vinakuambia hapo mwanzo kulikua na neno. Ndio Yakaja mambo mengine .

Hutaki kuelewa sawa jentromeni wetu wa namtumbo kila la heri.

Tafuta pesa otherwise dada, Antie, Madam shemeji etc utayaita sana!!
 
Unaewagongea wanaume wenzio watafutaji wewe ndiyo shoga sasa...maana unakula za wanaume wapambanaji....mdada mwenzetu😋
Jamaa atatumika sana kama condoms pona yake apasuke
Asipo pasuka ataita maji mma
 
Yaan unampa mwanamke hela ili akupende??
Wadau hii kituon omekaaje?
Kwa hiyo unanunua upendo?
Ngono ndiyo najua inauzwa ila sio upendo (love)
 
kweli mwamba mpenda kitonga kama mimi ila mi nikiwa nazo nampa nampa tu ila huwa hawanishukuru hata kusema asante mpenz hakuna ndio kwanza wananiambia ni jukumu lako kutoa so nimeanza kunyima saiv naenda bar nahonga bia wakilewa gheto wakistuka asubuh nimekujaje hapa najibu imekuleta bia
 
kweli mwamba mpenda kitonga kama mimi ila mi nikiwa nazo nampa nampa tu ila huwa hawanishukuru hata kusema asante mpenz hakuna ndio kwanza wananiambia ni jukumu lako kutoa so nimeanza kunyima saiv naenda bar nahonga bia wakilewa gheto wakistuka asubuh nimekujaje hapa najibu imekuleta bia
Change your way man kuwala wakiwa sober itakuja kukuletea shida kisheria ukija kukutana na dem kichaa
 
Back
Top Bottom