Kabla mambo hayajawa mengi ni ufala kwa mwanaume kuanzisha mahusiano yoyote kwa gia ya pesa.
Kifupi ukianzisha hayo mahusiano jua umesaini mkataba wa kutumika. Na utatumika kama kondom vile. Yaani ponea yako labda upasuke.
Hata vitabu vitakatifu vinakuambia hapo mwanzo kulikua na neno. Ndio Yakaja mambo mengine .
Hutaki kuelewa sawa jentromeni wetu wa namtumbo kila la heri.
Unaewagongea wanaume wenzio watafutaji wewe ndiyo shoga sasa...maana unakula za wanaume wapambanaji....mdada mwenzetu😋kunawasenggr wanahonga sana na ninawagongea
Kula na mayai ulainishe sauti ya kuombea maji hiyo siku ikifika!kunawasenggr wanahonga sana na ninawagongea
OkayA win is a win
ulivyo hoi hivyo?kunawasenggr wanahonga sana na ninawagongea
Jamaa atatumika sana kama condoms pona yake apasukeUnaewagongea wanaume wenzio watafutaji wewe ndiyo shoga sasa...maana unakula za wanaume wapambanaji....mdada mwenzetu😋
hoi kivipi mrembo?ulivyo hoi hivyo?
sidhani
Change your way man kuwala wakiwa sober itakuja kukuletea shida kisheria ukija kukutana na dem kichaakweli mwamba mpenda kitonga kama mimi ila mi nikiwa nazo nampa nampa tu ila huwa hawanishukuru hata kusema asante mpenz hakuna ndio kwanza wananiambia ni jukumu lako kutoa so nimeanza kunyima saiv naenda bar nahonga bia wakilewa gheto wakistuka asubuh nimekujaje hapa najibu imekuleta bia