Mwanaume kama huna hii full package, kuchapiwa ni lazima

Yan # 2 ndo mwakeeeeeeee[emoji389]
 
Hahahahaha hakuna anayependa shida
 
Waache wachapwe tu kah! Tumechoka maana hata ukifanya vyote hivyo bado ataona kuna upungufu haufanani na ex-wake, waache wachapwe tu kwani k si zao bwana
 

Formula za mapenzi hazipishani na zile za kwenye hesabu.
Mfano + unaongeza mpenzi
- unaachana au hauna mpenzi,

* mke na mme wanakuwa na patner wengine (michepuko)

/ mmoja kati ya mme au mke anakuwa na michepuko ili hali mwingine yupo constant.
 
Human beings, who are almost unique in having the ability to learn from the experience of others, are also remarkable for their apparent disinclination to do so.
 

Mvumilie tu, ndio dada zetu hao wa siku hizi wanajifanya wanajua sana.
Sasa Kama bado ana akili ya kutaka kuchuna buzi unategemea nini?!
 
Topic nyingine zinakatisha tamaa ya mahusiano kabisa yaani ,
 
hata uki provide vyote hivo ikiwemo mgegedo mkali bado tu kuna wengine watakumbuka nje na kuchepuka
 
Hivi mwanamke kogongwa nje mnahisi ni huwa mnakomoa mtu amaa? Maana ishakua fashion.. Ila mwisho wa siku mwili ni wako mwenyewe... Wajikomoa mwenyewee
 
WELL SAID.. EM AGIZIA BAPA NTAKUJA KULIPAAAAA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…