Mwanaume kama huna hii full package, kuchapiwa ni lazima

Mwanaume kama huna hii full package, kuchapiwa ni lazima

Samahani, lakini ukweli ulio wazi ni kuwa hauko sahihi hata kidogo.

Hakuna kanuni katika mapenzi. Wapo wanaume wengi sana wamefanya yote hayo uliyotaja na hata zaidi lakini bado wameendelea kuchapiwa wapenzi/wake zao.

I stand to be corrected, ila mtazamo wangu wa haraka haraka ni kwamba wanawake wengi wanaonekana hawaridhiki na wanachopata kutoka kwa wapenzi wao.

Kuna shida nyingine ya kuigaiga kutoka kwa mashoga, kutokuwa na misimamo ya kimaamuzi na kimaisha kwa ujumla. Wanawake wengi wanaonekana hawana vipaumbele vya maana. Wengi wako kama bendera. Hakuna ethics wala kanuni zinazoongoza maisha yao.

Japo kiukweli kabisa wapo wanawake wanaojitambua. Yes wapo wa kutosha. Wanaume wachache wamekuwa na bahati ya kuwapata wanawake hao bora. Ingawa wapo wanaume pia ambao wamekua waki-abuse bahati hizo walizopata. Shame !!
 
Unaandika utafikiri unaimba taarabu nyie watu hamnaga vigezo wa masharti nitakupenda nitakuoa utazaa gari nyumba nzuri nitakuhakikishia good timez cha ajabu ukiridhika unatafuta mwingine nje mi nnageuka zober,wanaume tupunguzeni kujali hawa watu.
 
Swala la kutulia na kuchapiwa ni tabia ya mtu tu, hata upewe nini kama mwanamke hujatulia ni hujatulia tu
 
Hii elimu ni ngumu sana na huwa nashindwa kucomment chochote
 
Hivyo vyote sio ishu, tunabokoa kwa vibe tu!
Ye ndio anaprovide vyote na full respect.
Mwanaume ni kitandani tu, demu atakupraise kwa adabu zote hata kama huna kitu!
 
Wanaume wanaowatukana wake zao eti MPUMBAVU,unamwambia mkeo mpumbavu,wewe unajiona mjanja sana,amekuzalia,anatunza family alafu unamtuka,mmmmmchi wananikera sana
 
Nadhani natafuta anajaribu kutuambia aina ya mwanaume anayemtafuta. Chickity check yourself, kama unatimia sogea PM upange mstari kama wakware wenzio tuliotangulia.
 
Na hawapatikani kamwe,wengi tunapenda kutumia na kuacha,pia pesa haitoki kirahisi labda wanaume wasiojitambua
Kama unaona n vzur na mwanao atatumiwa na kuachwa hvyohvyo wht goes around comes around
 
Kua uyaone.

My take: omba sana Mungu akupe aliyetulia asiye na hekaheka na wewe usikutane na mademu wenye hekaheka
 
Mwanamke hata umto...be vp aidha hata umpe nn yani swala la umalaya wameumbwa nalo cha kuishi nao kwa akili
 
Nyie watu nyie,,, hata mpewe kiasi gani kwa matumizi ya mwezi hamridhiki hata akiwepo wa hizo 1,2,3 ulizozitaja utatamani awepo mwenye character 4,5 6......1000 na kuendelea, sijui mmezaliwa sayari gani nyie!!!
Inaitwa dunia
 
Back
Top Bottom