mwanaume kama huyu ni wa kundi gani....................

kaka sijakubali nimekataa kabisa manake najua mapenzi yenye incetives yana mwisho mbaya. ila hanielewi hadi kamuondolea mpenzi wangu amani yake. hivi mwaname kama huyu unamweka kundi gani?

Ni kawaida ya wanaume waliofilisika kimapenzi. Anahitaji ushauri nasaha jinsi ya kumtongoza mwanamke na kukubali matokeo ya kukataliwa.
 
Nashindwa kuamini, hivi kweli mdada wa leo ahongwe gari achomoe!
Ngoja niwaachie wenyewe, lakini mimi naona ni ngumu kumeza.....................................

Mzee mwenzangu umeona eh? Hebu ngoja tuwaache vijana wajadili huu mustakabali. Hili ni Fumbo dogo la Imani.
 
Samahani nimekuhukumu masikini...........Nakubaliana na wewe wapo wasichana wachache sana, narudia tyena wachache sana wenye moyo kama wako, lakini wengini ...lo lo lo lo ni kanyaga twende, kuhongwa gari ni gia moja tamu sana kwa wanaume wakware kuwanasa wanawake kirahisi na unahongwa gari lakini kadi huioni, akikupata anakuchezea kisha anakupiga chini na gari anakupoka........................
 
ahsante mwaya miye nimemweleza kila kitu mpenzi wangu ila sasa haniamini anaona kama naweza kubadilika mawazo lakin mimi siko hivyo najijua sipend kunyanyasika

Kwa kweli manshiroo una kazi kubwa ya kumwondoa wasiwasi mpenzi wako. Jitahidi kuwa naye karibu hata kwa simu, mhakikishie kuwa huna mpango na huyo hayawani. Fanya hivyo mara kwa mara hadi akuelewe.
 
Nashindwa kuamini, hivi kweli mdada wa leo ahongwe gari achomoe!
Ngoja niwaachie wenyewe, lakini mimi naona ni ngumu kumeza.....................................

Yaani ile acceptance ya gari tu, tayari kakubali. Utapokeaje via watu hafu ujidai unachomoa?
 
wewe kama umekubali kuhongwa na kupokea zawadi
kitumbua lazima kiliwe by any means necessary
hutaki kuliwa,usile....

Niko pamoja nawe.
Eti mtu anajitosa kununua gari, akumbuke Ana ndugu wenye shida huyu...
Hafu Analeta za kuleta.
 
we mpe tu akate kiu, ndio ataacha kukusumbua..shida yote ya nini mwaego? hata huyo mpenzi wako unajua mustakabali wake? unajua anamega wangapi?
 
Kwa kweli manshiroo una kazi kubwa ya kumwondoa wasiwasi mpenzi wako. Jitahidi kuwa naye karibu hata kwa simu, mhakikishie kuwa huna mpango na huyo hayawani. Fanya hivyo mara kwa mara hadi akuelewe.

ndugu yangu hapando penye tatizomanake mpenzi wangu anaona kabisa kwamba nina msaliti lakin sijawah hata siku moja na nilimwambia kuwa yeye ni mwanaume wa pili kuwa naye aliyetangulia mmoja na huyu ni wapili sina mpango wa kuwa na mahusiano mengine tena nampenda sana ila ka ujuavyo wanaume wengi wanaunga maistari hat kama siku uliaga safari ya ghafla tu ana connect kwamba nilikwenda kwa huyu bazazi kweli nimemchukia sana huyu mkaka na ni bora angeniambia mimi kuliko kutumia email mpanzi wangu kuharibu mahusiano yetu
 
Yaani ile acceptance ya gari tu, tayari kakubali. Utapokeaje via watu hafu ujidai unachomoa?

remmy sikuchukua chochote cha huyu mkaka zaid ya kwamba nilitoka kula naye lunch nikiw na rafiki yangu mwingine mdada. na hii ilikua ni mara moja tu.
 
Hahah chezeya wanawake wa JF weye?

ndugu yangu ningetaka kutembea naye ningefanya hivyo ila ya nini? hivi mtu ni divorcee two times miye nakwenda hapo kutafuta nini? sawa umasini wangu napaki nao na mpenzi wangu, kwani hata hivyo tumeridhika na tuna amani sana kuliko kwenda kuingia kwenye maisha yenye manyanyaso na tabu kisa hela
 
Huyo Mwanaume si wa kumzoea, anaonekana ana tatizo, tena hasa la kujiamini na kutesa watu kwa sababu ya hela zake, why aachwe kiasi hicho?!, kwanza mjeuri, yaani anafikia hatua ya kutaka kukuharibia, wewe na Mpenzi wako, muwe makini naye, akiongeza karaha au hata kutaka kuhatarisha usalama wenu, mdeal naye kisheria
hata hivyo doreen mtu kama huyu ukimchuna mbona ni dhambi tu? manake mimi nilimuuliza mmbona hajaoa kasema alitengana na mkewe halafu akaoa tena akatengana wewe wadhani hapo kuna usalama?
 
Last edited by a moderator:
we dada si kwa ubaya, ila na wewe u sound mzinzi kwangu! ulifuata nini kwenye mahoteli makubwa kama hukuwa na nia naye? sawa ulikuwa unamchuna, lazma koni ulilamba hata kama hakukula! mmmhhhh uongo mwingine mkatafute wa kuwadanganya, we r ol grown ups hapa! lol!
 
mmmhhhhhh hii case looks familiar kwangu! mmmhhhh....................! aisee! haya nawatakieni usiku mwema bila kuweweseka!
 

Pole sana dada, lakini naamini hiyo ni dhoruba ya muda tu ya penzi lenu.
 
remmy sikuchukua chochote cha huyu mkaka zaid ya kwamba nilitoka kula naye lunch nikiw na rafiki yangu mwingine mdada. na hii ilikua ni mara moja tu.

Ulieleza habari za kuhongwa magari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…