Mwanaume Kama Una Roho Ndogo, Usishuhudie Mke wako Akipimwa Njia Ya Mtoto wakati anakaribia kujifungua.

[emoji23]Duh! kwahyo hata akikupima na mkuyenge huku anasugua “back and forth” mpka atoe wazungu siyo mbaya?

Akili ni nazo syo tu hizo, High IQ na utashi wa hali ya juu wa kuuliza beyond Human intellectual.

Sikuhitimu na degree tu.
Nyie shomile huwaza umalaya tu na mikuyenge tu unaumwa serious hizo hamu unazipatia wapi, hafu hospital Huwa Kuna ma Dr na ma nurse Dr wakiume akikuhudumia lazima nurse wa kike awepo, huo mda ni saa ngapi?
 
Niko hapa kuwasemea wale wajinga ambao hawajui hizi ishue.

Sasa kwasababu umekuja juu juu na kuleta makasiriko.Imenipasa nikujibu kwasababu kwa haraka haraka umekariri vya ndani tu hata nje ya nchi unapasikia.

Unaijua Bombadier wewe?
[emoji2][emoji2] wazee wakujisifia kuliko uhalisia kuwa jirani na Uganda napo nje ya nchi [emoji2][emoji2][emoji2]
 
Nyie shomile huwaza umalaya tu na mikuyenge tu unaumwa serious hizo hamu unazipatia wapi, hafu hospital Huwa Kuna ma Dr na ma nurse Dr wakiume akikuhudumia lazima nurse wa kike awepo, huo mda ni saa ngapi?

Sawa kwahyo wewe nani alikusonteka midole ni nurse au dokta

nataka kufunga mjadala nina kikao mchana.
 
Picha ya mkeo akipimwa tafadhali, itatusaidia sana kuogopa na kukataza wake zetu kupimwa.
 
Mpaka mzungu aje aseme hii njia ya upimaji sio sahii ndo utawasikia asee kweli kabisa hii niia ili kua ni uzalilishaji ila sisi wenyewe tukitoa mapendekezo, aahaa wapi huonekana ni ujinga tu, weusi hamtaki kutafakari kama kuna niia mbadala zaidi ya hii kama tukitafakari vizuri

Basi kama inaw zekana kupendekezwa wakunga wawe wanawake

Kuna mtu hapa kasema Kuna mmoja anaheshimu kazi na kutunza Siri ila mwingine anafurahia na kuongeaongea

Yaani hashumu mtu anajisifia kumchokonoachokonoa mkeo hivi atakama taaluma yake ndio atangaze hivyo na anaye jisifia ni mtu MWANAUME na wanaume tunajijua jinsi tulivyo, mtu akikumbia tu ni memuelewa dada yako inakua sio poa kabisa
 
Bora ajifungue kwa operation kuliko nisononeshe nafsi yangu kwa kumbukumb hio mbaya.

Ama kama akipatikana Dr wa kike mwenzie it will be far better
 
Bora ajifungue kwa operation kuliko nisononeshe nafsi yangu kwa kumbukumb hio mbaya.

Ama kama akipatikana Dr wa kike mwenzie it will be far better

Mgonjwa ana haki ya kuchagua mtabibu.

Unaweza ukachagua, ila watu hawajui, unakuta wanaume wengi hawajui hilo.

Yeye anakuja kijana ana miaka 19 yupo tu na vidole kama tangawizi anasonteka vidole kweny nyeti za mke wa mtu mwenye umri wa miaka 36
 
we mtani wangu wa kihaya 'nshomile" ebu punguza mihemko utaki mama bhoke apimwe njia

kwa msaada tu ipo hivi katika huduma za mama mjamzito anapokaribia kujifungua kuna hatua kadhaa ni muhimu kuzipitia maana zinatuwezesha kufahamu mapema juu ya hali ya mtoto ,mama na uwezo wake wakujifungua kawaida ama kwa operation iwe hospital ya private ama ya umma

vipimo vya awali akiwa labor kwa ajiri ya kujifungua

1; kadi ya clinic udhulio la mwisho
2; maendeleo ya mtoto kwa manual yani fetoscope na ultrasound
3;wingi wa damu na group la damu
4;kupima njia ya mama na kujaza partograph
5;kutoa maamuzi ya njia ipi itamfaa mama kujifungua
6;kujadili na mgonjwa na ndugu ili kumsaiidia

sasa katika kupima njia ya mama na kuangalia kama imefunguka ni muhimu kufanya manual kwa kutumia vidole na mkunga ama nurse ama daktari kwa sababu si njia tu ata kuangalia engeagament ya mtoto kwenye pelvic bones na kuangalia prominence of the pelvic brim kama mtoto ameshaanza kuteengeneza caput na pia kupasua chupa wenyewe mnaita ila kusaidia njia ifunguke vzr

kifupi kuna msaada mkubwa sana kitaalam kupima njia kwa njia ya manual yani kuingiza vidole kuliko kutumia hiyo digital na ata nchi zilizoendelea katika kutoa huduma kama za ulaya bado manual pv examination ni muhimu na ina kuwa applicable

point yako ni hii ulikua na uwezo wa kushauriana na watoa huduma asifanyiwe na wanafunzi sawa inaruhusiwa ila kaa kumbuka ata madaktari bingwa walianza hivyo kwakua masomo ya udaktari clinical ni lazima
ila uliowasikia wakihadithiana ni nidhamu mbovu tu yao


cc;wote mnaochangia
 
👍👍
 
Hilo neno "kusonteka" unamaanisha nini?Umeandika kinyamwezi kama kila mtu anajua!
-Sonteka
-Sonkola
-Syenteka
-Sonta nk!
 

hapa umenielewesha vizuri.

nimekuelewa ila mimi mimba inayofuata ya wife lazima ampime dokta wa jinsia ya kike[emoji23][emoji23]
 
Ukienda hospitali za serikali hasa zile za Wilaya na Mkoa (Rufaa) ndiyo vimejaa hivyo vitoto vya kiume vya field! Ukivikuta vimevaa visuruali mlegezo, na vya kubana!

Kuna wakati mpaka najiuliza hivi miaka ijayo tutakuwa na madaktari wa aina gani! Maana hata maadili ya kazi havina. Ifikie wakati wamama wajawaziti waamzishe tu mgomo wa kuhudumiwa na hivi vitoto vya field.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…