Mwanaume kama unatumia dk 1-3 kufanya mapenzi fanya mambo haya...

Mwanaume kama unatumia dk 1-3 kufanya mapenzi fanya mambo haya...

Umenena vyema kabisa tena limeathiri wengi kisaikolojia maana sehemu zingine zote wanaume wengi tumekubali kutofautiana yaani uwezo wa mwili mfano kukimbia, kutembea, nguvu ya kunyanyua vitu etc, pia chakula yaani mwingine anakula plate inajaa na kilemba na mwingine kiasi na mwingine anakunywa chai vikumbe 3 mwingine kimoja.

Ila kimbembe kwenye ngono sasa watu hawakubali kutofautiana wanataka kuwa sawa yaani kama mtu anapiga dakika 20 au 30, basi na wengine wanapambana watumie dakika hizo hizo na ndipo wanatumia nguvu kubwa kutafuta tiba kwa ugonjwa ambao hawana na kujikuta akili inapoteza mwelekeo kumbe kila mtu angepambana na hali inafika mahala nyuchi unaizoea kiasi mpaka unakuwa na uwezo wa kujizuia kama unavyozuia mkojo tu
swadakta ...naungana na wewe huwezi badilisha uhalia wako ingali unajua huwezi badilisha

mfano mtu unajijua una maumbile madogo what next baada ujue angle jinsi ya kusex vizuri kupitia maumbile yako unaanza kuwaza kuongeza maumbile kitu ambacho kwa hapa tanzania hakuna uwezekano labda nje

ndipo anajaza stress kichwani kujiona dhaifu mara paaah kimoja chali zingatia tayari jamaa ana maumbile madogo mixer kimoja chali hapo nini kinafuata ni kutangazwa na malaya kwamba wewe ni kibamia
 
Yes, sijafika huko kwa miaka ila nilipo sasa so far so good huko natembea na kuvuka

Kuna umuhimu mkubwa kwenye diet na kuacha vipengele vya kifala


NB: sitakuja kumshauri mtu yoyote apige nyeto kwenye life🤣 kama hawezi kuvumilia bora hata atafute hata beki 3
 
Cha muhimu ni kumwaga Ayo ya mda inategemea na mazingira
 
1. supu ya dagaa
2. Punguza vinywaji vyenye sukari kwa wingi
3. Achana na maji ya baridi
4. Pata juice ya alovera.
5. Jizoeshe kutafuna natafaka
6. Usile Chips
 
Hivi kuna mtu anayetumia dakika 1-3 kweli au umeamua tu kuandika,hizo ni dakika za kuku
Kaka wapp mpka sekunde 30 kaka kuna manz ashawah nipa stori anakwambia jamaa akizama hata dakika hafiki teyari
 
1. Jitahidi utumie supu ya dagaa chuku chuku kumbuka isiwekwe chumvi na mafuta (x5 kwa week
2. Punguza vinywaji vyenye sukari kwa wingi au vyakula vyenye sukari nyingi badala yake tumia maji..
3. Achana na maji ya baridi ndio maji ya baridi achana nayo kunywa maji ya vugu vugu kama wachina
4. Pata juice ya alovera mambo yatakuwa safi
5. Jizoeshe kutafuna natafaka kama karanga kimtindo hii itakusaidia kula mihogo safi safi
6. Chips iwe hamu kula chips zen kale ugali wako wa mtama au dona sembe sio poa sana

Ikiwa unafanya haya mambo hayaendi nione tupate miti shamba uoe hadi wanawake 7.

.........TUTAELEWANA TU......
Wakati unafanya yote hayo mwanamke anafanya nini?
 
Acheni maneno karibuni ni watibu dawa ni za uhakika
 
Eti mtu unakuta ana kunywa mavitu ya ajabu ajabu ili akae kwenye kifua cha mwanamke saa zima sijui anataka kugundua nn?
Na mbaya zaidi unakuta huyo mkewe anaye mfanya afanye hayo yote ni kahaba msitaafu ambaye kabla hajamuoa amesha liwa na rundo la wanaume wa kila aina.
Kwenye dunia ya sasa wanaume tujifunze kuwa wabinafisi tofauti na hapo tutapata tabu sana.
 
Eti mtu unakuta ana kunywa mavitu ya ajabu ajabu ili akae kwenye kifua cha mwanamke saa zima sijui anataka kugundua nn?
Na mbaya zaidi unakuta huyo mkewe anaye mfanya afanye hayo yote ni kahaba msitaafu ambaye kabla hajamuoa amesha liwa na rundo la wanaume wa kila aina.
Kwenye dunia ya sasa wanaume tujifunze kuwa wabinafisi tofauti na hapo tutapata tabu sana.
Sure mzee baba, hii tabia ya kutaka kujifanya shujaa mbele ya mwanamke inaumiza wwanaume wengi sana.

Mwanamke asipofika kileleni mwanaume hautakufa, kwanza iyo ni shida yake sio yako.
 
Back
Top Bottom