Mwanaume kama unatumia dk 1-3 kufanya mapenzi fanya mambo haya...

swadakta ...naungana na wewe huwezi badilisha uhalia wako ingali unajua huwezi badilisha

mfano mtu unajijua una maumbile madogo what next baada ujue angle jinsi ya kusex vizuri kupitia maumbile yako unaanza kuwaza kuongeza maumbile kitu ambacho kwa hapa tanzania hakuna uwezekano labda nje

ndipo anajaza stress kichwani kujiona dhaifu mara paaah kimoja chali zingatia tayari jamaa ana maumbile madogo mixer kimoja chali hapo nini kinafuata ni kutangazwa na malaya kwamba wewe ni kibamia
 
Yes, sijafika huko kwa miaka ila nilipo sasa so far so good huko natembea na kuvuka

Kuna umuhimu mkubwa kwenye diet na kuacha vipengele vya kifala


NB: sitakuja kumshauri mtu yoyote apige nyeto kwenye life🤣 kama hawezi kuvumilia bora hata atafute hata beki 3
 
Cha muhimu ni kumwaga Ayo ya mda inategemea na mazingira
 
1. supu ya dagaa
2. Punguza vinywaji vyenye sukari kwa wingi
3. Achana na maji ya baridi
4. Pata juice ya alovera.
5. Jizoeshe kutafuna natafaka
6. Usile Chips
 
Hivi kuna mtu anayetumia dakika 1-3 kweli au umeamua tu kuandika,hizo ni dakika za kuku
Kaka wapp mpka sekunde 30 kaka kuna manz ashawah nipa stori anakwambia jamaa akizama hata dakika hafiki teyari
 
Wakati unafanya yote hayo mwanamke anafanya nini?
 
Hivi kuna mtu anayetumia dakika 1-3 kweli au umeamua tu kuandika,hizo ni dakika za kuku
Mbona nyingi sana hizo. Inatakiwa umalize kabla ya hapo ukafanye shughuli nyingine za ujenzi wa Taifa.
 
Acheni maneno karibuni ni watibu dawa ni za uhakika
 
Nashangaa sana kuzisingizia Chipsi ktk ukhanithi wenu.
 
Eti mtu unakuta ana kunywa mavitu ya ajabu ajabu ili akae kwenye kifua cha mwanamke saa zima sijui anataka kugundua nn?
Na mbaya zaidi unakuta huyo mkewe anaye mfanya afanye hayo yote ni kahaba msitaafu ambaye kabla hajamuoa amesha liwa na rundo la wanaume wa kila aina.
Kwenye dunia ya sasa wanaume tujifunze kuwa wabinafisi tofauti na hapo tutapata tabu sana.
 
Sure mzee baba, hii tabia ya kutaka kujifanya shujaa mbele ya mwanamke inaumiza wwanaume wengi sana.

Mwanamke asipofika kileleni mwanaume hautakufa, kwanza iyo ni shida yake sio yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…