Behind the camera
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 315
- 756
- Thread starter
- #61
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] shika adabu yako mkuuKuendesha IST
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] shika adabu yako mkuuKuendesha IST
Bora IST kuliko passo au vile vi nissan vidogo mithili ya tool boxKuendesha IST
Mwanaume anaendesha JIEFANG, BULDOZA, CATAPILLAR, TRACTOR, nk[emoji2][emoji2][emoji2]Bora IST kuliko passo au vile vi nissan vidogo mithili ya tool box
Leta gahawa mkuuVipi mmemaliza kikao niwaletee maji ya kunywa?
Kama kijibwa[emoji2]Mwanaume kuvaa cheni shingoni
Nimenukuu tu mkuu, naomba nisihukumiwe [emoji1][emoji1][emoji1][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] shika adabu yako mkuu
hayo mengine yanavumilika ila HAYA MAWILI hua roho inaniuma sana mwanaume mwenzangu akiyafanya.2. Mwanaume mwenzio kumtumia meseji ya 'MAMBO'
3. Kumtumia meseji mwanaume mwenzio kisha kuweka emoja za kuona aibu (Nadhani mnazijua)
hahahahhaa sio kweli mkuuUkiona unatumiwa meseji za design hiyo tambua mpo kundi moja
[emoji2][emoji2][emoji2]Mtoa mada thatha sisi tufanyeje [emoji85]
Mambo VIP, Mambo niaje, Mambo yanaendaje, Mambo Nini, Mambo......Mambo vipi? Hii salamu kwa Mwanamme ni Kosa?? Huwa Natumia sana "Mambo vipi Savimbi?" ila situmii Mambo peke yake!!
Ndio nakuambiahahahahhaa sio kweli mkuu
Kung'ang'aniza urafiki, mahusiano