Mwanaume kamili acha mara moja mambo haya

Kujifanya una mapenzi ya dhati kukiko wanaume wengine

Kujifanya mshauri wa wadada ili uwatafune

Kujifanya fulani kumbe sio fulani
 
kuna pumbafu mmoja lilinitumia txt lika inlude neno 'MY' aisee ile siku niliona dunia mbona inanionea kiasi hiki! nilikasirika isivyo kawaida.
[emoji3] pole mkuu
 
Huwez kuwa timilifu
Utafiti umeonyesha wanaoshabikia mpira hasa timu Kama yanga, arsenal,man u wanaweza wakawa na mapungufu ya nguvu za kiume.

Na watu wasiopenda kabsa kushabikia mpira ni watu ambao wanajali sana mambo yao na wapenz wao wanaenjoy Kwenye tendo
 
Mwanaume kula nusu soseji na chips kavu nusu,na tomato nyingiii then haumalizi umeshiba
 
Kwa humu jf ziwaendee wale wanaume wanaojifanya ujuaji mwingi na dharau zisizo na kichwa wala miguu tena kwa mtu ambaye hata humjui zaidi ya kuona maandishi tu.

Punguzeni kwani huwa tunawatoa kwenye kundi la wanaume kamili.
Wataje tu.....






Let's meet at the top, cheers 🥂
 
mwanaume kuji
mwanaume kujipost status kila saa yani kila sekunde anapost kitu na kufuta utafikiri kuna mashindano ya umodo kwao ..............alafu sio ya kike kike ni ya kishoga shoga maana mimi mwanamke na siandiki hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…