Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Sio fair Kaka hata Mimi ilishanitokea .sikupenda kabisa.yule jamaa nilimdharau sana.halafu tulikuwa wanne room just imagineHivi mbona akili umeielekezea kwenye ushoga mama, nakuhakikishia baada ya miaka 20 miongoni mwa wanaume 10 tutakaobaki na mimi nitakuwemo
Hey darling mambo? Hii thread haina upako kabisaHey there, how are you.?
Nilimkwepa, sema yeye alikuwa na hasira, ya kwanza aliwahi, ya pili nilimwachia ghettoUna umri gani kijana??
Kutopenda mbunye kabisa na hizo aibu za kiwango cha sgr la kichina(1000km/hr) ni hatari kwa afya ya kizazi chako.
Mpaka jamaa anakudharau hivyo hata wewe umeruhusu kudharaulika, how comes jamaa anaingia na demu wake na wewe hata hujiongezi kuwapisha..
Na ile umefika tu, ulipojua jamaa hamuendani kiitikadi mbona chap tu ungemkwepa na angekuheshimu sana. Ila shida yako wewe ni kugandana na mwenyeji wako kama vile mtoto mdogo.
Mwisho kabisa tafuta hela ndgu.
Vifo how? FafanuaHapana, namaanisha kutia mimba ovyo ovyo kunasababisha vifo
Nisamehe kwa kukukwaza kipenzi.Hivi mbona akili umeielekezea kwenye ushoga mama, nakuhakikishia baada ya miaka 20 miongoni mwa wanaume 10 tutakaobaki na mimi nitakuwemo
Hivi mbona akili umeielekezea kwenye ushoga mama, nakuhakikishia baada ya miaka 20 miongoni mwa wanaume 10 tutakaobaki na mimi nitakuwemo
Mi nimekuelewa dogo ila ungekua hujataja kijijini nilihisi umekulia geti kali coz watoto wa geti kali wanakuagq wazubaifu sana na ni rahisi watoto wa street kuwageuza gays.Aiseeeee watu mmeniandama, iko hivi,
Mimi sio shoga, Dem nnae 💉
Mbona umemkazania mtoto wa watu kuwa ni shoga wkt mwenyewe anajitetea kwa nguvu kuwa sio?Tabia za watu kula mademu zao mbele ya washikaji zimefanyika sana Hosteli Vyuoni.
Sema kwa uandishi wako na story ni "Bottom" mwenye Aibu saana!
Mpigie tumuulize kwanzaDogo yuko wapiii......
Unanichanganya dogo?Alaf hili tukio nilikiwa nasimulia kama mfano, ili Tuache tabia kama hiyo. Imagine nakula mzigo mbele ya mwanao si nitakuwa namharibu akili, manaake hawezi tena kuwaza vitu vingine vya msingi, atakuwa anawaza na yeye afanye, na akifanya anaweza kuambukizwa maradhi kama gono, ukimwi etc
Kwahiyo umeamua ubadili id na post au sioExpression:
((15 + 28) * 7) - (1024 / 16) + (48 * 3) - (250 - 200) / 5
soon.
15 + 28 = 43
43 * 7 = 301
1024 / 16 = 64
301 - 64 = 237
48 * 3 = 144
237 + 144 = 381
250 - 200 = 50
50 / 5 = 10
381 - 10 = 371
Answer: 371