Mwanaume kufuga kucha ni urembo pia?

Mwanaume kufuga kucha ni urembo pia?

to me kucha ni uchafu tu, iwe kwa Mwanaume au mke... I dont see any deal in them
 
Kucha ndefu kwa mwanamme wala hazipendezi mie ndio asinisogelee kabisa.
 
Kuna baadhi ya wanaume wanapenda kufuga kucha, nimeona sana wanafunzi wa vyuo wa jinsia ya kiume kufuga kucha kiasi kwamba zinakuwa ndefu kuliko hata zile tulizozoea kuona kwa wasichana. Je kuna maana yoyote kufanya hivi, inawezekana kuwa ni ushoga, au kwao ni urembo tu. Mi binafsi nakereka kuona kijana na makucha marefu.
 
Kumbe kero binafsi??

Waulize warembo wanasikiagaje izo kucha zipite juu ya spinal cord na kiunoni.
 
Kumbe kero binafsi??

Waulize warembo wanasikiagaje izo kucha zipite juu ya spinal cord na kiunoni.

Wanawake gani hao, sababu wanawake niliojaribu kuwauliza wanawadharau wanaume wenye kucha ndefu, wanadhani ni mashoga!!.
 
Ili upate jibu kama ni mashoga ama ni ma bwabwa jaribu kumkamata mmoja sehemu zake za uani then reaction yake uje utueleze hapa.
 
Mi nilikuwa nafuga vidole viwili kidogo na chapete dada maza alikuwa apend nilkuwa navificha muda nipo nae,ila siku moja niliota ndoto ya kutisha na mauza uza niliyoyapata kwenye ndoto chanzo kilikuwa ni kucha kuanzia siku ile niliacha kufuga kucha hata msichana mweny kucha ndfu simfaglii
 
Mi nilikuwa nafuga vidole viwili kidogo na chapete dada maza alikuwa apend nilkuwa navificha muda nipo nae,ila siku moja niliota ndoto ya kutisha na mauza uza niliyoyapata kwenye ndoto chanzo kilikuwa ni kucha kuanzia siku ile niliacha kufuga kucha hata msichana mweny kucha ndfu simfaglii

Hiyo ndoto si uiseme ilikuaje, mambo ya mombasa nini!.
 
Hiyo ndoto si uiseme ilikuaje, mambo ya mombasa nini!.

aise ilikuwa ya kutisha mambo yamashetani shetani yalikuwa yanagombania vidole vyenye kucha coz zilkuwa ndefu hadi zkaanza kupinda.usiku ule ule nilposhtuka nilizkata na meno.
 
Kuna baadhi ya wanaume wanapenda kufuga kucha, nimeona sana wanafunzi wa vyuo wa jinsia ya kiume kufuga kucha kiasi kwamba zinakuwa ndefu kuliko hata zile tulizozoea kuona kwa wasichana. Je kuna maana yoyote kufanya hivi, inawezekana kuwa ni ushoga, au kwao ni urembo tu. Mi binafsi nakereka kuona kijana na makucha marefu.

Kumbe PhD holders wanawaza hivi...
 
Back
Top Bottom