he!kwani nilimtuma apige simu alaa
Naomba kuuliza kabla sijachangia.
Watu tuliozaliwa zamani tunaruhusiwa kuichangia hii thread?
Nilisahau kuwasalimu: Marahaba wajukuu zangu.
Karibuni kitandani tulale
Tena nyie ndio mnafaa sababu ndio mnaojuwa kulea wasichana,kubembeleza na mengineyo. eti na wewe mpaka uombwe ndio umpe msichana wako au unajihisi wewe ndio mwenye jukumu la kumfanyia mambo kama hayo?
Cousin uliishawahi kupigwa mzinga wa vocha mara ngapi??naona nazeeka sasaaaa
bwana nazeeka sasaaaa
Prof J featuring Mr II
Chonde chonde na hiyo komputer yangu usiniharibie keyboard bana, naona unazigonga kwa hasira si mchezo! subiri ya kwako itoke kwa fundi bana!!huna utu......huna staha.....huna adabu.....ndio niny mnaopigania haki sawa?......anakosa nini kukuommba voucha....wewe vipi?
wapendanao wanasaidiana......... umenishangaza kweli
We dada ni vile tu hujampenda huyo kaka lakini ingekuwa kwamba roho yako imemkubali walahi ungempa hiyo voucher. mbona sioni tatizo???
Sisi tuliozaliwa zamani na kufuata misingi imara ya mamabu zetu:
1. Ni marufuku kumbomu binti bila kujali unatongoza au unachumbia
2. Binti akikupa hela kwa hiari yake wakati unamtongoza, unapaswa kuikataa ili kuuthibitisha uanaume wako
3. Ni marufuku kumwomba hata mkeo hela.....sanasana labda 'umkope kimagirini'
I mean mwanamke kumpa hela mwanaume enzi zetu ilikuwa ni udhalilishaji. Anachotakiwa mwanamke kumpa mwanaume ni vijizawadi bana, siyo hela.
Hivi hii thread tunajadili nini vile?
Chonde chonde na hiyo komputer yangu usiniharibie keyboard bana, naona unazigonga kwa hasira si mchezo! subiri ya kwako itoke kwa fundi bana!!
Inawezekana wewe ni boss wake huko ofisini,anajua una hela nyingi na labda umemuonyesha unampenda sana na anataka umlee kama mwanae sasa......ha ha ha ha ha.......its a turn off for real,mimi kusema wewe tu hii story nimehisi kutapika....sijui wewe uliyeambiwa....
kama unampenda ongea nae mwambie hupendi,kama huna feelings nae mpotezee!!:washing:
huna utu......huna staha.....huna adabu.....ndio niny mnaopigania haki sawa?......anakosa nini kukuommba voucha....wewe vipi?
wapendanao wanasaidiana......... umenishangaza kweli
kuna ile moja imemwagikiwa chai asubuhi......nikaweka stoo na kuvuta hiki kitu......kii bod yake bado mpyaaaa:focus:
umemuoaa huyu dada alivyo...maada ya ajabu kabisa hii