The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Sis naomba unitumie vocha ya voda ya buku, sijui utanitumia au nisubirie madongo hapa l.o.lwape vidonge vyao wakimeza wakitema ni shauri yao Afro.....mwanaume uombe vocha???? eti nao wataka usawa....basi tukiwa vichwa vya nyumba muwe kimya si kuleta jeuri :washing:
wape vidonge vyao wakimeza wakitema ni shauri yao Afro.....mwanaume uombe vocha???? eti nao wataka usawa....basi tukiwa vichwa vya nyumba muwe kimya si kuleta jeuri :washing:
Utampa tu wewe tena utaamua kumfikiria japo kwa siku moja baadae utachonga mzinga.
Eti huna feelings nae kwani huyo anae mega sasa hivi ulikuwa na feelings nae? Si alikutongoza kama huyo anavyo fanya?
wape vidonge vyao wakimeza wakitema ni shauri yao Afro.....mwanaume uombe vocha???? eti nao wataka usawa....basi tukiwa vichwa vya nyumba muwe kimya si kuleta jeuri :washing:
Mnapenda vitamu kutoka kwa wanaume vyenu kutoa vichungu.
Hata ukiombwa maji ya kunywa naona wewe unaweza mnyima mtu kwa kuhofia kutongozwa.
Yaani muda tu ndio unanibana yaani amenikunaje?
mkuu umemaliza habari yote.ma she wanapenda sana haki sawa kwenye vitamu tu lakini haki sawa kwenye majukumu ina wa-put off.hapo jamaa hajafanya cha ajabu.anajaribu kudumisha haki sawa.credit yake kapiga na mmeongea kwa dakika tano so inakua zamu yako na wewe kuwezesha mawasiliana coz kama mnaweza kuongea for 5 minutes then ni ushahidi tosha kua hata wewe huwa unaonesha kuenjoy mazungumzo.so kama unaenjoy mazungumzo, cha ajabu ni kipi kuombwa kuchangia kuwezesha mazungumzo yaendelee?
Hapo sasa
Sijui wanataka haki gani ya usawa??
Ahaaaa ahaaaaa home boyMnapenda vitamu kutoka kwa wanaume vyenu kutoa vichungu.
Hata ukiombwa maji ya kunywa naona wewe unaweza mnyima mtu kwa kuhofia kutongozwa.
:lol::lol::lol: Kumbe inawauma na nyie kuombwa vocha basi mkae mkijua kuwa na sisi huwa inatu-put off nyie kutuomba vocha every now and then, sweetdada leo imekula kwako acha kubana mtumie mshikaji vocha banaa mbona nyie mkituomba huwa tunawatumia halafu mnaishia kutu-beep:lol::lol::lol:
Mnapenda vitamu kutoka kwa wanaume vyenu kutoa vichungu.
Hata ukiombwa maji ya kunywa naona wewe unaweza mnyima mtu kwa kuhofia kutongozwa.
Mnapenda vitamu kutoka kwa wanaume vyenu kutoa vichungu.
Hata ukiombwa maji ya kunywa naona wewe unaweza mnyima mtu kwa kuhofia kutongozwa.
Sis naomba unitumie vocha ya voda ya buku, sijui utanitumia au nisubirie madongo hapa l.o.l
heeeeeeeeeeee,nipishe nipite.....tungekuwa tunawanyima vitamu ungezaliwa wewe na mimi....ukimwi ungekuwepo na kisonono na mimba zisizopangwa???wewe una lako,naona hii mada imekugusa sana....haipendezi mwanaume kuomba vocha..πanda:
CPU na wewe huwa unaomba vocha ya buku mbili??
Maty bana vere vereHaki sawa hakuna wala nini kwanza si mshukuru siku hizi tunafanya kazi hatuwaombi ombi wanaume bana usipomuomba hela anabadilisha kiabao anaanza yeye kwa kudhani labda unazo sana kumbe basi tu mtu uso umeumbwa na haya kama unapata kidogo cha kukutosheleza uombe ombe ili iweje? sasa hivi wanawake wengi tu hawana tabia ya kuomba omba
Hao hao mnaokutana nao tip top ndio wanapenda vitamu vya wanaume, kwanza ukishaona mwanamke ana kazi yake inayomuingizia kipato anaomba kuliko maelezo ujue huyo hakupendi unamlazimisha vivyo hivyo kwa wanaume mi ukinianzia hivyo fide nitakutoa balu mpaka kwenu
heeeeeeeeeeee,nipishe nipite.....tungekuwa tunawanyima vitamu ungezaliwa wewe na mimi....ukimwi ungekuwepo na kisonono na mimba zisizopangwa???wewe una lako,naona hii mada imekugusa sana....haipendezi mwanaume kuomba vocha..πanda: