Mwanaume kuiomba airtime voucher!!!!

wape vidonge vyao wakimeza wakitema ni shauri yao Afro.....mwanaume uombe vocha???? eti nao wataka usawa....basi tukiwa vichwa vya nyumba muwe kimya si kuleta jeuri :washing:
Sis naomba unitumie vocha ya voda ya buku, sijui utanitumia au nisubirie madongo hapa l.o.l
 
wape vidonge vyao wakimeza wakitema ni shauri yao Afro.....mwanaume uombe vocha???? eti nao wataka usawa....basi tukiwa vichwa vya nyumba muwe kimya si kuleta jeuri :washing:

Mnapenda vitamu kutoka kwa wanaume vyenu kutoa vichungu.

Hata ukiombwa maji ya kunywa naona wewe unaweza mnyima mtu kwa kuhofia kutongozwa.
 
sweetdada, umevutiwa na huyo kijana??
 
Utampa tu wewe tena utaamua kumfikiria japo kwa siku moja baadae utachonga mzinga.

Eti huna feelings nae kwani huyo anae mega sasa hivi ulikuwa na feelings nae? Si alikutongoza kama huyo anavyo fanya?

Taratibu....kila mtu ana maamuzi yake....usiusemee moyo wake wala kutabiri atakachofanya baadaye,huyo anayemtongoza sasa hafanani na aliyenaye wala atakaye kuwa nae ndo maana anapinga na ameshasema hana mapenzi nae.....:focus:
 
wape vidonge vyao wakimeza wakitema ni shauri yao Afro.....mwanaume uombe vocha???? eti nao wataka usawa....basi tukiwa vichwa vya nyumba muwe kimya si kuleta jeuri :washing:


inawezekana yuko kwenye foleni au safari dear.. sasa atapata wapi vocha na ana shida ya haraka?
 
Mnapenda vitamu kutoka kwa wanaume vyenu kutoa vichungu.

Hata ukiombwa maji ya kunywa naona wewe unaweza mnyima mtu kwa kuhofia kutongozwa.

Hapo sasa
Sijui wanataka haki gani ya usawa??
 

Haki sawa hakuna wala nini kwanza si mshukuru siku hizi tunafanya kazi hatuwaombi ombi wanaume bana usipomuomba hela anabadilisha kiabao anaanza yeye kwa kudhani labda unazo sana kumbe basi tu mtu uso umeumbwa na haya kama unapata kidogo cha kukutosheleza uombe ombe ili iweje? sasa hivi wanawake wengi tu hawana tabia ya kuomba omba
 

hapo kwenye nyekundu , du... lakini sweet, mie sioni tatizo kuombwa vocha, hiyo iwe kawaida , kwa sababu kote kote lazima kutoboke, tatizo langu ni kwa huyo jamaa, kama ndo kwanza kaanza kutongoza na vocha juu... hapa mshikaji noma...

kuna mwanamuziki mmopja wa zamani sana enzi hizo za nineteen kweuzi, alisema, " ni lini akina dada watatoboka, kwani ni sisi akina kaka tunatoboka tu wakati wa lunch tunatoboka, wakati wa twist tunatoboka..." wale wazamani wanaweza kukumbuka zaidi... so donti wari sweetie, teki iti ize
 
Mnapenda vitamu kutoka kwa wanaume vyenu kutoa vichungu.

Hata ukiombwa maji ya kunywa naona wewe unaweza mnyima mtu kwa kuhofia kutongozwa.

heeeeeeeeeeee,nipishe nipite.....tungekuwa tunawanyima vitamu ungezaliwa wewe na mimi....ukimwi ungekuwepo na kisonono na mimba zisizopangwa???wewe una lako,naona hii mada imekugusa sana....haipendezi mwanaume kuomba vocha..πŸ˜›anda:
 
Mnapenda vitamu kutoka kwa wanaume vyenu kutoa vichungu.

Hata ukiombwa maji ya kunywa naona wewe unaweza mnyima mtu kwa kuhofia kutongozwa.

Hao hao mnaokutana nao tip top ndio wanapenda vitamu vya wanaume, kwanza ukishaona mwanamke ana kazi yake inayomuingizia kipato anaomba kuliko maelezo ujue huyo hakupendi unamlazimisha vivyo hivyo kwa wanaume mi ukinianzia hivyo fide nitakutoa balu mpaka kwenu
 
Sis naomba unitumie vocha ya voda ya buku, sijui utanitumia au nisubirie madongo hapa l.o.l

umeipata bro? nimekutumia ya 5000....ikiisha ni beep nikuongezee,msalimu Afro!!:washing:
 
heeeeeeeeeeee,nipishe nipite.....tungekuwa tunawanyima vitamu ungezaliwa wewe na mimi....ukimwi ungekuwepo na kisonono na mimba zisizopangwa???wewe una lako,naona hii mada imekugusa sana....haipendezi mwanaume kuomba vocha..πŸ˜›anda:

Kwani hicho unacho jigamba nacho kitamu?

Hicho kina radha ya chumvi mama sio kitamu.
 
CPU na wewe huwa unaomba vocha ya buku mbili??

Mimi nikimuomba mwanamke vocha ya buku 2 ujue nina shida ya hatari sana, na niko sehemu ambayo hakuna benk wala vocha
 
@MESTOD- ningemuomba anipe ina mana ya kwamba tayari angekuw ani mpenzi wangu so nisingekuja kulalamika,ila kwasababu sio mpenzi wangu na ndo yuko kwenye stage ya kunitongoza ndo mana kaniPUT OFF.

@Samora- sijawahi kukutana nae physically i.e. kama unamaanisha sexual intercourse..nimesema ni mtu ninafanya nae kazi nothing more.

Wanaume mnafurahisha sana,hapa mnajaribu kutetea lakini deep down ur hearts mnajua jamaa kachemsha..nyie wote mnaojibu hapa je mmewahi au mnaweza kufanya hivyo??
nijuavyo mimi mwanaume mara ya kwanza lazima ajitutumue ili aonekane yeye anaweza na sio kujishusha na kutafuta mteremko.
 
Maty bana vere vere
 

Huko Tip Top tuna hit na kurun siwezi nikajikabidhisha....nikisha kula naangalia wapi pakutokea na kuchapa lapa.
 
heeeeeeeeeeee,nipishe nipite.....tungekuwa tunawanyima vitamu ungezaliwa wewe na mimi....ukimwi ungekuwepo na kisonono na mimba zisizopangwa???wewe una lako,naona hii mada imekugusa sana....haipendezi mwanaume kuomba vocha..πŸ˜›anda:

Kwa sababu za kimazoea au??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…